Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Nakuhitaji pm fasta 😎Ila wewe ukiambiwa umeshibanino na min unarusha mabuti😏😏 nitakata nyam nyam hizo ooh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakuhitaji pm fasta 😎Ila wewe ukiambiwa umeshibanino na min unarusha mabuti😏😏 nitakata nyam nyam hizo ooh
Lol 🤣😁😁 mbona mod walishahamisha
Kisa tu goli nne. 🤣🤣🤣Ukitaka kulala uniambie nataka nikutakie usiku mwema
Fake anapenda kuchekaaa.Nisamehe sana fake akee😂
Ooh!Lol 🤣😁😁 mbona mod walishahamisha
Unaita kama unaagiza malayer. Mbona jpili ilikua inaisha vizuri tu😏Nakuhitaji pm fasta 😎
Mtani huu ndio utakuwa mwendo wenu au?Chumaaaaaaaa cha Tatu...
Nataka nikuambukize raha, ulale unatabasamuKisa tu goli nne. 🤣🤣🤣
Hahahaaa. Ama kweli kipato huleta majivuno.Kufungwa wafungwe Fountain ila Yanga ndio wanaumia
Hii imekaaje wakuu?
🤣🤣🤣Daa! Eti nini? Mchezaji alieingia na filimbi?Ushauri kama huu na jana uliutoa?
Au kwako Kitale....eti Kitale tena kumradhi nilikuwa namaanisha Vitalo, kwako unawaona ni timu ambayo haijajifia?
Hizo 4 zimeingia kavu wakiwa wote wametimia
Sasa kuna timu jana wao walikuwa 12 wakati wenzao wako 8
Yeah ni 12 sema watu wanapoielezea mechi ya jana wanamsahau sana yule mchezaji aliyeingia na filimbi.
Koh koh! Mtani naomba maji nimepaliwa. 🤣🤣🤣🤣Tff tupatie kombe letu
Ok njoo basiUnaita kama unaagiza malayer. Mbona jpili ilikua inaisha vizuri tu😏
We fanya mzaha.ila ndo ukweli huo. Historia ya kuchukua kombe mara nne mfululizo anayo mnyama peke yake nchi hiiKoh koh! Mtani naomba maji nimepaliwa. 🤣🤣🤣🤣
Hizi mbwembwe utembee nazo mpaka mwisho Mtani sio ikifika katikati unaanza kutuacha wenyewe. 🤣🤣Goli letu la 3 hili hapa
View attachment 3078963
Ni kibonge kweli🤣kwanini wakuite kibonge! sio nzuri
Hahahaa. Lol.Hizi dakika 30 zilizobaki zinatosha kufunga 3 zingine
Na hili wala halihitaji wawe 8 uwanjani