Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
MKATAA PEMAA.....😅
#NB Haya Urudi Utukatikie Mauno Vizuri,
Maana ndio taaluma unayoiweza kwa Sana..
Ifikie Hatua Watu watambue ya Kuwa PESA sio kila kitu Duniani,
Mnataka kuniambia DUBE alikuwa Analipwa Milioni 1 Pale Azam,?
Why Alikimbia!???..
Kaona Structure ya timu haielewi na Haina utayari wa Kushindana Ili Kujipatia Heshima,
Badala yake Ina Azma ya kuwavuruga Wenzao kupitia Kwa Pesa zao za Mauno😅
MKINUNA MJE TARIME😄
#NB Haya Urudi Utukatikie Mauno Vizuri,
Maana ndio taaluma unayoiweza kwa Sana..
Ifikie Hatua Watu watambue ya Kuwa PESA sio kila kitu Duniani,
Mnataka kuniambia DUBE alikuwa Analipwa Milioni 1 Pale Azam,?
Why Alikimbia!???..
Kaona Structure ya timu haielewi na Haina utayari wa Kushindana Ili Kujipatia Heshima,
Badala yake Ina Azma ya kuwavuruga Wenzao kupitia Kwa Pesa zao za Mauno😅
MKINUNA MJE TARIME😄