Nina mmoja huyo anafanyia bank x. Huyu kibonge wangu chemistry yetu tunaijua wenyewe! hapa tumepigana tofali.Ni kibonge kweliπ€£
Daaah kwa hiyo tusipost magoli yetu, tukipost inakuwa mbwembweHizi mbwembwe utembee nazo mpaka mwisho Mtani sio ikifika katikati unaanza kutuacha wenyewe. π€£π€£
Uwiiii!Nataka nikuambukize raha, ulale unatabasamu
Lengo la kauli yangu kwamba hizi mambo iwe muendelezo Mtani.Daaah kwa hiyo tusipost magoli yetu, tukipost inakuwa mbwembwe
Nyie mlivyocheza jana na wale watutsi sisi mbona tulikaa kimya tukawaacha mfurahie.
Hee! Usisahau hata hiyo historia inawezekana kuvunjika.We fanya mzaha.ila ndo ukweli huo. Historia ya kuchukua kombe mara nne mfululizo anayo mnyama peke yake nchi hii
Naongea kwa mujibu wa statistics za TFF.sio porojo za kijiwe cha kahawa.timu yako ipo nafasi ya ngapi?Hee! Usisahau hata hiyo historia inawezekana kuvunjika.
ππ Nakusalimia Mtani.π¦
β½β½β½β½
Halllah
π₯π₯π₯π₯π₯
Nilishikika mahali...ila zile shwangwe nikajua Mnyama anmywa mtu kisusio....
Mtani kama mtani umetuonaaaas????
π π π π eti kisusioNilishikika mahali...ila zile shwangwe nikajua Mnyama anmywa mtu kisusio....
Viva Simbaaaaaaa
Aghrrrrrrrrrrrrr
Asante sana, nimeumia kwakweli.Pole sana.