joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Hii inaitwa kila mtu anunue mechi zake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
BiasharaThis is Simbaaaaa
Na ndivyo tulivyokubaliana na wenzetu wa jkt na kmc kuwa watusaidie magoli ya kutoshaMechi ya mwisho simba atashinda hata 8-0 amzidi azam.
PoleFriends of Geita Gold, tunawatakia rafiki zetu hawa ushindi mnono....Go Geitaaaa njia ipo wazi
MmesokomezwaGeita ni nyumbani kabisa
Upashe motoUZI UMEPOA KAMA KUNA MSIBA
Uto hamzipigagi mnaachaBila penalty hakuna kutoboaa
Hongera 😁Pole
Ile ya Coastal Union ilifutwa, hii yetu halaliKadi nyekundu ya MCHONGO
Asante 🐸 princessHongera 😁
Mimi mgeni humu,eti uwaki ndiyo nini?Eti km nataka niondolewe ban kabla ya muda, ndo niandike maelezo.
Nkaona huu uwaki, khaaah
Kuna Watu wanaamini FA Utopolo wanabeba 😂😂😂Msimamo wa Mataji 2023/24 hadi sasa
Simba Sc Mataji 2
Utopolo FC Taji 1
Mlandege Taji 1
Wengine wote 0
Hivi zile mbwa pale makambaku bado zipoo zilenyamaa n taamu aisee yaan siku nakuja gunduaaa n mbwa nilishalishaaa familiaa sana na majiran lohNgoja niangalie ni Mtandao gani mzuri kati ya Tigo Pesa au Airtel Money nimtumie Mtu Hela aninunulie Kuku Singida.
Mkuu uliona matumizi mazuri ya Tigo Pesa na Airtel Money jana?Hivi zile mbwa pale makambaku bado zipoo zilenyamaa n taamu aisee yaan siku nakuja gunduaaa n mbwa nilishalishaaa familiaa sana na majiran loh
Haswaaaaa mkuuu yanatia moyooMkuu uliona matumizi mazuri ya Tigo Pesa na Airtel Money jana?
Ukitaka kujua ubora na hadhi ya mataji angalia Simba pamoja na kuwa na mataji hayo mawili ila ana haha kuisaka nafasi ya pili kwa udi na uvumba.Msimamo wa Mataji 2023/24 hadi sasa
Simba Sc Mataji 2
Utopolo FC Taji 1
Mlandege Taji 1
Wengine wote 0
Asante na bahati mbaya Watu makini ( Werevu ) ndiyo tunachukiwa na kuonewa sana japo Mungu huwa anatubariki zaidi.Ile Genta upo makini sana 😁