ChaiGoaaaaaaaal Geita gold wanatangulia hapa.
Geita 1 -Simba 0.
π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£Tumefungwa la kwanza.
Kashinda 0-2Matokeo ya Azam vip
πππππππππniliona mbali kama mtafungwa muda sio mrefu.Hii uliandika kabla ya goli halafu tumefungwa kweli
hapa gg ipo. PoleSimba Hawa,nimeweka No GG,Ole wao
π³π³ kuwatakia rafiki zangu ushindi ni roho mbaya??Roho mbaya hii.
Tukuletee kitafunwa?Chai
Nilishakukosoa maana uliandika kinafiki kweli ile nimekujibu tu nashangaa goli, ikabidi nifute.πππππππππniliona mbali kama mtafungwa muda sio mrefu.
Elfu 20 Bora ningenunua Kuku nirudishe afya,hapa gg ipo. Pole