fundi bishoo
JF-Expert Member
- Jun 26, 2018
- 14,264
- 27,132
but two weeks ago they were praising him they wanted him to be the headcoach😂😂Ana wakati mgumu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
but two weeks ago they were praising him they wanted him to be the headcoach😂😂Ana wakati mgumu
Sijui kwanini Azam hawana matangazo mazuri, haya matangazo ya vyandarua sijui shela badala ya chandarua yanakera zaidi nyakati kama hizi.but simba hey have been uplift without penat no wining 😂
😂😂😂 they call it marketing strategySijui kwanini Azam hawana matangazo mazuri, haya matangazo ya vyandarua sijui shela badala ya chandarua yanakera zaidi nyakati kama hizi.
Mbona tangazo linaeleweka au we unataka mbu waendelee kututafuna.Sijui kwanini Azam hawana matangazo mazuri, haya matangazo ya vyandarua sijui shela badala ya chandarua yanakera zaidi nyakati kama hizi.
Roho mbayaTutafurahi tukishafukia
Lakini leo wamecheza vizuri tu ila refa kaamua kuwatafutia goli Simba. Ile penati sioGeita wanastahili kushuka daraja bila kupingwa. Timu mbovu, Kitambi maneno tuu.
Acha tu, mtu huna raha na matokeo halafu linakuja tangazo kama lile la chandarua na shela la sijui suzi.😂😂😂 they call it marketing strategy
Sijasema halieleweki mkuu.Mbona tangazo linaeleweka au we unataka mbu waendelee kututafuna.
😂😂 you don't scareAcha tu, mtu huna raha na matokeo halafu linakuja tangazo kama lile la chandarua na shela la sijui suzi.
Game imeshaishaGoooooooal S.S.C 1 - 1 Geita
Ila hii ya leo tunashinda vizuri tu.Nilishasema, Simba hatuna timu ya kutupeleka klabu bingwa, tulieni hivyo hivyo msijipe msongo wa mawazo wa bure.
pole sana uran na Greatest Of All Time
Piga hao umbwa simba washike nafasi ya tatuLigi ya NBC inaendelea leo ambapo Simba SC itapambana na Geita Gold kwenye uwanja wa Chamazi Complex.
Simba inatafuta nafasi ya 2 huku Geita Gold ikijinusuru kushuka daraja.
Mechi hii itapigwa saa 1:00 jioni. Karibuni tufuatilie game hii.
View attachment 2996205
Kikosi cha Geita Gold
#nguvumoja#Ligi ya NBC inaendelea leo ambapo Simba SC itapambana na Geita Gold kwenye uwanja wa Chamazi Complex.
Simba inatafuta nafasi ya 2 huku Geita Gold ikijinusuru kushuka daraja.
Mechi hii itapigwa saa 1:00 jioni. Karibuni tufuatilie game hii.
View attachment 2996205
Kikosi cha Geita Gold
Sijui hata wanataka nini yani!!Kwani Nini Kimetokea?
Mbona ni Utopolo ndo WanaLaLamika?
Ndo kimeanza saivi??Kipindi cha pili kimeanza, ngoja tuone.
Simba ni kubwa kuliko dua yakoPiga hao umbwa simba washike nafasi ya tatu