FT: Simba SC 4 - 1 Geita Gold | NBC Premier League | Azam Complex | Mei 21, 2024

Sijui kwanini Azam hawana matangazo mazuri, haya matangazo ya vyandarua sijui shela badala ya chandarua yanakera zaidi nyakati kama hizi.
Mbona tangazo linaeleweka au we unataka mbu waendelee kututafuna.
 
Ile penati ni aibu kwa soka letu aisee. Yaani refa alikuwa na matokeo yake mfukoni
 
Piga hao umbwa simba washike nafasi ya tatu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…