FT: Simba SC 6-0 Jwaneng Galaxy | Benjamin Mkapa Stadium | 02.03.2024. 19:00 EAT | Simba yafuzu Robo Fainali

Naskia kabla ya mechi wachezaji wa JWA waligombana na walinzi huko kwenye kona za uwanja

nini kilitokea
 
Jobe kakosa kapaisha ilikuwa kidogo awakande. Chama yupo poa mno. Kipa wa JWA kaomba poo mpira upoe.
 
Reactions: BRN
Mechi rahisi sana, vibonde vimekutana.
 
Twende chama langu Simba,Nimewapa over 2.5 saaf bado moja tuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…