Muuza madafu wa Ikulu
JF-Expert Member
- Feb 21, 2024
- 1,277
- 2,888
Wamezidiwa tu. Wacha wapigwe kama ngoma ili wawe na heshima na Tanzania. Piga wiki hao wana msimbazi.Kuna uzi ulifunguliwa umu JF kua hizi timu kubwa kuna namna nje ya uwanja wanaset mambo kwanza
Mimi kama vile naamini hivi.. hizi mechi mbili za yanga na CR, Simba na galaxy hazipo kikawaida kabsaa
yaan timu pinzan zinakua ni kama zimeduwaa sio kuduwaa kuzubaa sio kuzubaaa
Kwani hakuna VAR?Goli 7 zitafika kweli kwa hali hii kama wakewnza kukataa magoli yetu?
Ndio Mtani.Umemmiss
Hapana wakat wa rebound chama alikuw katikat ya wqchezaji wawili kibendera kapatwa na wenge tuOffside ile mzee
Yanga wanaingiaje hapa?
Tumtume nani kati ya Laban og na yule kibabu NALIA NGWENA?Tungependa kujua msimamo wake sasa hivi..🤣🤣
Tutatuma waandishi wa habari wamuulize
Na kawaida ya wine inashuka chini.Hahaha ngoja kwanza nishushie wine nije tena...
Ni Gwede Gwede....Hapana apewe Guede sijui Guedee.
Kwenye pumbz zako?Na kawaida ya wine inashuka chini.
tuma salamu kwa watu watatuOffside Ile sababu kipa hakuwa golini Kwa yule jamaa wa nyuma alisimama kama kipa
Kweli kabisa aiseeRole model wa Pacome huyo
Unaambiwa Pacome humwambii kitu kuhusu Chama hata humuweke mbele ya Ronaldo, Pacome anaenda na Chama
Ooh. Ook. HahahaNi Gwede Gwede....