Mudi ni mwekezaji tu, sio mmiliki wa Simba..
Yanga wanaingiaje hapa?
Yanga ilishasecure robo fainali kitambo tu.
Mwamedi Saa hizi anatabasamu ana uhakika wa kuvuta Mpunga wa CAF Kwa kuingia robo.
Kumbuka mwenye timu hapangiwi matumizi ya pesa zake.
Hahahaaa. Lol.
Tumefuzu mzee babaUtopolo mlifungwa jana, msifikiri tumesahau
Kachoka sanaaaGoli kipa yupo hoi.
Hivi walifikia wapi na waangalizi wao wa Kimataifa π πJwaneng&Wydad&Utopolo. Wydad bora wangeacha tu.
Siku ya leo peke yake ameanzisha nyuzi 10. Atakuwa Chini ya uvungu.Labani og ameonekana mitaa ya malindi simba chai.
Inasemekana amekwenda zanzibar kwa maziko ya mstahafu
Mbona amumjibu mwenyewe wakati anasema kainunuwa mwaka wa 5 sasa?Mudi ni mwekezaji tu, sio mmiliki wa Simba.
NakaziaHawa wehu tuwapige saba kama horoya wanatushobokea sana hawa
Ameonja kwa nusu ya kwanza maana ya neno kisasi. Ngoja tuone 2nd half.Wale Makocha Wa Jwaneng Jasho linalowamiminika sio mchezo...!
Hasa yule aliyetoa maneno ya Shombo..
Itakuwa wapo humo wanatoa updatesHivi walifikia wapi na waangalizi wao wa Kimataifa π π
Sawa SAWAMbona amumjibu mwenyewe wakati anasema kainunuwa mwaka wa 5 sasa?