denoo JG
JF-Expert Member
- Oct 27, 2023
- 2,701
- 9,759
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado hujasemaaaaaaaaaaa broooo leo usije kushindwa tu kula au ukagongwa na gariiiiFuraha mnayopata kushinda tano sisi tulishaipata tulivyowapiga makolo kono la nyani.
Hawa jamaa ni WABOVU kuliko TRATRA na hawa wapi wabovu
Mwenzio wa kuitwa Labani og kaanzisha Uzi juzi,simba tukishinda apigwe ban.Simba mmepiga bomu mochwari mnashangiliaaa, ila hongereni watani😀
Moja tu hoiiihuu ushindi nauhamishia kwenye ndoa napiga 6 za nguvu hadi nimwage ubongo
Wewe wasemaHawa jamaa ni WABOVU kuliko TRA
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sis bado hujatesekaaa, yaan bado hapo.Simba mmepiga bomu mochwari mnashangiliaaa, ila hongereni watani[emoji3]
Notes za kufanyaje wakati hatua unayoishiaga ndio naye kaingia? Sasa muanze kuvuka robo ili umuache hatua utopolo ila kwasasa wote mpo darasa moja la robo fainali. Tuome ni nani kidume wa kufuka hili darasaUtopolo mnachukua notes lakini??
Anawaona wenzake ni kama wameshajichokea hawana mood ten na mpira ni kama wanasema tu sogeza liende [emoji1787]Umuoni Kipa.anataka Kulia kipa wa Galaxy anataka kulia
Nipo dada yangu nilikuwa napata burudani hapa kutoka Simba sc mpira mwingi sana hapa full Raha yaani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nakutafutaaaaa sanaaa weeeee kiumbeee.