Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
Naitunza kama risiti hiiNadhan dakika 35 zinamtosha kibu nitashangaa akifikisha dakika 60
Unatujazia uzi wetu ushubwada tuu"Ilikuwa mechi nzuri wachezaji wetu walikosa tu umakini,ila dk 15 za mwanzo tungeweza kuongoza goli 3,Kibu kakosa goli mbili za wazi na ile iliyogonga nguzo,Simba leo hatukuwa na bahati tu..... nadhani tujipange Kwa msimu ujao maana Kwa waarabu ni ngumu kutoboa "Shabiki wa tawi la wekundu wa terminal
Guvu moya π
Yangu macho Mtani.Tunatinga robo leo
Ila sare ni matokeo tu ya mpira mkuuUnatujazia uzi wetu ushubwada tuu
Na masikio ongezeaYangu macho Mtani.
Yani ww kwny uzi wa Simba uko active mnoo wa kwenu sasa mpk mfunge moja ndo unatokeza kama kicheche π πIla sare ni matokeo tu ya mpira mkuu
Umetumwa wewe"Ilikuwa mechi nzuri wachezaji wetu walikosa tu umakini,ila dk 15 za mwanzo tungeweza kuongoza goli 3,Kibu kakosa goli mbili za wazi na ile iliyogonga nguzo,Simba leo hatukuwa na bahati tu..... nadhani tujipange Kwa msimu ujao maana Kwa waarabu ni ngumu kutoboa "Shabiki wa tawi la wekundu wa terminal
Guvu moya π
Itakua haahhaAnataka kumshinda Rutashubanyuma na Mshana Jr kwa post nying Jf.
Halafu ana hashtag ya Guvu Moya π π πYani ww kwny uzi wa Simba uko active mnoo wa kwenu sasa mpk mfunge moja ndo unatokeza kama kicheche π π
Hapana mkuu si kweli mkuu,hizi tuhuma nzito sana natakiwa kuombwa radhi na kusafishwaYani ww kwny uzi wa Simba uko active mnoo wa kwenu sasa mpk mfunge moja ndo unatokeza kama kicheche π π
Humkosi yanii na yuko sambamba mpk mwisho...hahahahaHalafu ana hashtag ya Guvu Moya π π π
Hapana,hiyo ni post -match interviewUmetumwa wewe
Sijakuzingizia mbonaa π π πHapana mkuu si kweli mkuu,hizi tuhuma nzito sana natakiwa kuombwa radhi na kusafishwa
Hizi tuhuma nakupeleka CAS,sina mchezo kabisa πSijakuzingizia mbonaa π π π
Nani kakwambia tunataka hizo post..match wakati hata pre haijaanza..Hapana,hiyo ni post -match interview
Huko nakushinda mchana kweupeeeHizi tuhuma nakupeleka CAS,sina mchezo kabisa π