Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bila kusahau star times nao hawako nyuma kwa hili, wanaonyesha mechi zote za michuano hii bila kuchagua mechiMnyama Mkubwa Mwituni asiyefugika, Simba Sports Club anashuka dimbani leo kuikabili Horoya AC katika mchezo muhimu wa kundi C.
Simba itaingia uwanjani ikiwa na alama 6 huku Horoya wakiwa na alama 4. Ushindi wa aina yoyote utawafanya Simba wafuzu robo fainali.
Leo ni ama afe kipa au afe beki, ushindi ni lazima kwa Mnyama, na kwa uzoefu wangu, mechi za namna hii Simba akiwa kwa Lupaso huwa tunashinda goli zisizopungua 3.
Shime wana Simba tujitokeze kwa wingi hapo Lupaso ili tukahanikize ushindi wetu mapema, najua friends of Horoya watakuwepo ila hawatosumbua.
Mchezo utakuwa mubashara saa 1:00 usiku na kama kawaida, ZBC 2 ya AzamTv na Variety 4 ya DStv watakuwa live.
Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki Simba Sports Club. [emoji881][emoji881][emoji881]
Safi sanaBila kusahau star times nao hawako nyuma kwa hili, wanaonyesha mechi zote za michuano hii bila kuchagua mechi
Hata DStvCanal+ pia wanaonyesha michuano ya AFRICA
Jamaa gani hao?hawa jamaa wafe 2 bila kupunguza kelele mtaani
wenye kelele mtaaniJamaa gani hao?
Unavyohangaika kama kuku anayetaka kutsga!! Umeona wapi simba wakiichukulia poa horoya?.Wanawachukulia poa horoya halafu ushindi wa vipers umewasahaulisha kwamba wao ni wabovu , sasa leo ndo ile siku watu wanaenda kuaibika
Na ikawe kheri kwetu [emoji120][emoji120]
Naona kama n kama ndoto vileNimechungulia vibuyu nimeona Mnyama akitamalaki nyumbani kwa ushindi mnono wa mbili bila
Hata wewe unaona haiwezekani ila unaamua tu kujifarijiMtiwe Tu