FT: Simba SC 7-0 Horoya AC | CAF Champions League | Benjamin Mkapa | 18.03.2023

Kama hatujafilisi bajeti yote ya serikali sijui. Huu ni uhujumu uchumi 🤣😂🤣
Ni kweli, ila hatuna haja ya kufikiria hizo hela maana tukiingia tu robo fainali tuna zaidi ya 1.4B. Hizo tuwaachie Yanga wapige nazo picha
 

Hongera Mtani

Finali hii hapa...Shida ni Mamelodi na Al Ahly. Mkitoboa hapo huyu hapa Raja Casablanca kwenye fainali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…