FT: Simba SC 7-0 Horoya AC | CAF Champions League | Benjamin Mkapa | 18.03.2023

Bila kusahau star times nao hawako nyuma kwa hili, wanaonyesha mechi zote za michuano hii bila kuchagua mechi
 
Wanawachukulia poa horoya halafu ushindi wa vipers umewasahaulisha kwamba wao ni wabovu , sasa leo ndo ile siku watu wanaenda kuaibika
Unavyohangaika kama kuku anayetaka kutsga!! Umeona wapi simba wakiichukulia poa horoya?.
 
Hongera Simba kwa kufuzu nusu fainali sisi zetu dua uende zaidi ya hapo Nenda Simba Nenda [emoji123]
 
Hii mechi ngumu sana ,naona ni kama fainal ,Simba wakaze sana aisee ikiwezekana wafie uwanjan Leo .
Tunachotaka ni ushindi tu Hakuna kingine.
Mungu wabarik wachezaj wetu wakawe na utimamu wa akili na juhudi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…