FT: Simba SC 7-0 Horoya AC | CAF Champions League | Benjamin Mkapa | 18.03.2023

Raisi la Horoya lizuri bana. Kaka popote ulipo achana na hawa hawachukui ubingwa... kuna timu mbele itakulipia. Mahaba hayana timu [emoji41][emoji41][emoji41]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee dear hebu utulie kwan bas, sisi tuna furaha ya ajabu, huyo rais picha yake iko wapi kwan?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee dear hebu utulie kwan bas, sisi tuna furaha ya ajabu, huyo rais picha yake iko wapi kwan?
Ipo Kule Kuna Uzi wameweka bonge la handsome
 
no 3 nimesha kwambia horoya hakuja kushindana tayari wana mgomo baridi wa kunyimwa m100 waliyo haidiwa na raisi wao

raja na ubabe wake nyumbani kwake kashinda 2 kwa 1 ww una uwezo gani wa kushinda 7 (ndo nakwambia horoya alikuja kamilisha ratiba tu sio ushindani)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…