Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 32,639
- 42,908
Hatari sana huyu Mfalme wa nyika...😂😂Mnyama kabeba 35M za mama 😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatari sana huyu Mfalme wa nyika...😂😂Mnyama kabeba 35M za mama 😀
Waje huku wanakimbia....tupo hapa Lupaso watatukuta.Kabla amja poa mna kutanishwa na memelodi
Niko nyuma yako hapa..Nina offer wakuu😍😍
Horoya na Vipers zishakutia nguvu au sio? [emoji16][emoji16]
Chagua vocha au pesa sh 5000Niko nyuma yako hapa..
Pesa au vocha 5000Napokea ofa mkuu😂🙌
Bora kamkwanja dearChagua vocha au pesa sh 5000
Acha kumwaga radhi Mzee Mshana...Nakojooaaaaa nakojooooaaaa nakoooojooooaa
Kaka, relax kwanza. [emoji16] Ebu kunywa maji mengi mzee baba. Usitake kutuingiza kwenye adhma bure.Waje huku wanakimbia....tupo hapa Lupaso watatukuta.
Uto kama Uto...anaposhangaaa...😂😂😂87' Goal la 7
Sadio Kanoute
Simba 7 Horoya 0
What a week!
[emoji125][emoji125][emoji125]Af wewe
Nakutokea ndotoni leo
[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee dear hebu utulie kwan bas, sisi tuna furaha ya ajabu, huyo rais picha yake iko wapi kwan?Raisi la Horoya lizuri bana. Kaka popote ulipo achana na hawa hawachukui ubingwa... kuna timu mbele itakulipia. Mahaba hayana timu [emoji41][emoji41][emoji41]
Acha kuweweseka kijana wa Uto...Kaka, relax kwanza. [emoji16] Ebu kunywa maji mengi mzee baba. Usitake kutuingiza kwenye adhma bure.
KavurugwaaaUto kama Uto...anaposhangaaa...[emoji23][emoji23][emoji23]
Ipo Kule Kuna Uzi wameweka bonge la handsome[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee dear hebu utulie kwan bas, sisi tuna furaha ya ajabu, huyo rais picha yake iko wapi kwan?
Tupoooo .... Wala hatuyeyiii 😅😅🤣Uzi umekimbiwaa
ndugu yangu namimi usinisahau elfu tano itanitosha chief nisambazie upendoNina offer wakuu😍😍
no 3 nimesha kwambia horoya hakuja kushindana tayari wana mgomo baridi wa kunyimwa m100 waliyo haidiwa na raisi waoUtakuwa ni mtu wa ajabu kama hujui sababu za Simba kushangilia.
1. Robo fainali
2. Ushindi mnono
3. Horoya na yeye angekuwa na nafasi ya kuingia robo fainali kama angeshinda( Kwahiyo, ilikuwa fainali).
4. Simba ilikuwa inasemwa vibaya sana( ushindi huu unawafanya maadui waaibike na kutahayari).