Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 32,603
- 62,269
Uko wapiiiii hahahha 😆 😆 😆Dogooo njoo kamata the finest wine [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uko wapiiiii hahahha 😆 😆 😆Dogooo njoo kamata the finest wine [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mashabiki wa utopoloo hawajibu text zangu jaman, ngoja niwakomeshee status. UwiiiiihANaonekana sasa hahaha
Acha kabisa best nadhani umeona mwenyewe kabisaaa..Ah naona wanyama kelele mingi sana.
Hongereni hayo ndio mambo bwana.
Kalpana hongera zako naona leo goli nyingi zikifungwa sita kwa sita.
Nipe mrejeshoOle wako ukosee kuangalia utaenda kulala kijiweni kwako Biafra[emoji2957][emoji2957][emoji2957]
Sawa mtabiri wa kimataifaFix sana we jamaa.. leo mtapigwa kipigo cha mbwa koko,kipigo ambacho chozi lake litawatokea ulimini! Kipigo Chenye pigo lisiloisha ukali wake!
Mie lilivyoingia la tatu nikaona isiwe tabu bora nikatafute wakugegesa usiku waleo🤣🤣🤣🤣Acha kabisa best nadhani umeona mwenyewe kabisaaa..
Yani ndo naanza kusoma comments nilikua ktk furaha ya ajabu hata kuandika ilikua ishu
Bwana ww huwezi kutuharibia siku yani ww ndo unateseka mnoooookwamba ww unajua kuliko raja aliye kukanda 3
kwamba bosi wao ajahaidi m100 na ajawapa baada ya mechi ya raja
Bila shaka utakuwa mgeni kwenye huu Uzi,ndiyo maana unacoment namna hii......niquote comment yangu yenye maneno hayolinafiki wewe.naulivyo jiita raisi wahoroya nakutuponda?
Haujaacha tabia chafu za kutafuta furaha za watu kuwa fursa 😆 😆Mie lilivyoingia la tatu nikaona isiwe tabu bora nikatafute wakugegesa usiku waleo🤣🤣🤣🤣
Sema kweliYani mpk Azam wametoa ofa kwney mechi hii kama kifurushi kiliisha wametoa buree walijua hatutawaaibisha...
V mamboo
Komesha komesheaaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mashabiki wa utopoloo hawajibu text zangu jaman, ngoja niwakomeshee status. Uwiiiiih
wee hujatoa uzi wakusema weweBila shaka utakuwa mgeni kwenye huu Uzi,ndiyo maana unacoment namna hii......niquote comment yangu yenye maneno hayo