OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Hii ni balaa lingineNawasalimu kwa jina la BM3
Wote na mjibu #KeroIendelee...!!!
View attachment 1838890
View attachment 1838888
Dadadeki.Morison ndaniView attachment 1838935
Wanaanza kuvunja kanuni,wamesha changanyikiwa.Hahahah wameingilia mlango usio rasmiView attachment 1838937
Ungekuwa dodoma leo tungeshangweka mpaka basi.Heee, sijasoma ata maelezo ila nasema hivi, Yanga tumempiga mtu mawili. Tukipigwa najiweka bondi mwenyewe[emoji23][emoji23][emoji23]
Ligi kuu ya tanzania ni azam tu ndo wanaoneshaDstv channel ipi/No ngapi naona hii kitu
AiseeπππππDk 60 Simba 0 Yanga 1 Fei Toto
Dk 73 Simba1 Yanga 1 Kagere
Dk 88 Simba 2 Yanga 1 Chama
Dk 90+2 Simba 3 Yanga 1 Tshabalala.
Wanaanza woteMwenye kikosi cha Yanga kitskachoanza atumie hapa
Tulia dawa iingie mkuuHuyu morison mshamba kweli...... kavaa kiatu cha njano na nyeusi.... kamaanisha nini?