Kuna timu itabidi inunue mechi zilizobaki ili iwe bingwaNaona wamekimbia wote.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna timu itabidi inunue mechi zilizobaki ili iwe bingwaNaona wamekimbia wote.
Maumivu unayapata ukiwa kivulini au juani?Wameshinda goli moja ila Mtaani shangwe kibao utafikiri lulu katoka jela
Wangeshinda 4 kama sisi je ingekuwaje?
Afu goli lenyewe tumefunga sisi...Daaah
Pamoja na yote aliyo yafanya Manara, mbona sioni tusi pale , hivi mnajua maana ya kumdhalilisha mtu?.Mimi kwa mara ya kwanza jana wala sikusikitika kufungwa na sababu nadhani ni Manara huyu ametokea kunitoka tu na tabia zake za kishamba ndiye anaharibu hii team hawa wachezaji wetu wanajiona kama wamemaliza team yoyote ikiingia uwanjani bila kuheshimu wapinzani sio kuwaogopa ila kuheshimu unayecheza naye utaishia pabaya. Duniani sijawahi kuona team inaongelewa na mtu nje ya bench la ufundi au mchezaji. Ni kocha au captain au mchezaji mmoja yoyote ndio wanatakiwa kuwa katika press hakuna kitu msemaji wa team. Manara nafasi nyuma ya pazia ku coordinate press na media lakini sio kuongelea team. Hili nataka liwefunzo kwake amuombe msamaha yule mwandishi alimwambia mechi 3 za mwisho Yanga amekuwa na matokeo mazuri akaishia kumtukana yule dada sasa sio mechi 3 imekuwa mechi za mwisho.
Unajuwa kuna maneno mtaani unaweza kuyatumia tusi lakini kwa maana ya kusifia mfano " Jamaa anajuwa mpira nyoko huyu" na yako maneno mengi tu lakini hayo maneno huwezi kuyatumia kwenye media au public press. Wenzetu majuu ukitumia neno https://jamii.app/JFUserGuide kwa bahati mbaya sababu neno la kawaida mitaani kusifia kitu ila halikubaliki kulitumia rasmi wanaomba msamaha. Alichokosea Manara ni kutumia neno kudadadeki mara nyingi tu na ile kumwambia mwandishi hasa wewe nitaonesha SMS zako nilikuwa nakutafuta wewe naona umetumwa wewe maneno mengi yasiokuwa na ulazima. Manara anatakiwa ku act na weledi anawakilisha team kubwa sio press yako personal unaongelea taasisi sio maoni yako. Nadhani ile press atakuwa amejifunza.Pamoja na yote aliyo yafanya Manara, mbona sioni tusi pale , hivi mnajua maana ya kumdhalilisha mtu?.
Barbara Gonzalez CEO wa simba, baada ya Ile press, CLOUDS FM kwenye sport xtra wakiongozwa na Ediga kibwana walimtukana Sana na kwenda mbali zaidi wakamuita "Hoya Hoya" tena wakiwa live cha kushangaza sijasikia huyo mama analia lia popote.
Hatuwezi mbona tuliwafundisha na kuwafunga juzi?Najua utoporo mpo vizuri kwa kutukana Ila football hamuwezi. Mambo ya nyuchi hayaendani na football bwashee
Hata mimba inatungwa kwa bao moja tuUtasemaje hakuna timu na kombe tunachukua na robo tumefika?
Nyie tulieni sisi tukianza hua tunaaanzia 4 na kuendelea