Lapili yanga hawatalipata, ni hilo hilo mojaSimba tunashinda 4:2
Haaa! We yanga?Tunarudisha 3 zaidi
Mi 🦁 Nguvu MojaHaaa! We yanga?
Tatu zako unazoNdio ongea sasa zile maneno zako Mtani.
Vigoli vya kutokana na uganga huwa havirudi. Hichohicho kimoja hadi Dk 90Nnavyojua simba tunashinda 2-1
Tusubiri tuone Mtani.Tatu zako unazo
Unaufahamu moto WA MAHUAMeneno sio mpira ndugu zangu
Mkuu we tulia hii ngoma inaisha simba akiwa bingwa.Mi 🦁 Nguvu Moja
🤣Tusubiri tuone Mtani.
Jamaa wanacheza jihad sn..nimeliona hilo,Lapili yanga hawatalipata, ni hilo hilo moja
Hata wakwetu yupoMsisahau yupo Rais uwanjani. 🤣🤣🤣