Narekeremo
JF-Expert Member
- May 20, 2021
- 714
- 755
Kabisaaa. Na nina miiko yangu nje ya 90mins huwa sijibu quotes. π€£π€£π€£π€£
The citizens 1 - Mikia 0Ngapi ngapi wakuu
Daah presha inapanda presha inashukaThe citizens 1 - Mikia 0
Piiiiiiiiiga hao mikiaaaaa
Mana wataanza kimekuwa hivi mara kimekuwa vile unakaa kujiuliza muda wote alikuwa wapi huyu. π€£π€£π€£ππππππππ
Aisee vibaya hivyo unafuraha hadi nimeona gego badala ya jinoπππππππππ
Dah dd naona dalili zote za kwenda kuoga nikiwa tupu tupuKabisaaa. Na nina miiko yangu nje ya 90mins huwa sijibu quotes. π€£π€£π€£π€£
Kukurukaaaaa mwanango haruuuh.... ( in bambo voice ) πππ hampati kituHii sub sasa ndo yenyewe, subirini kamba hapa.
Daah presha inapanda presha inashuka
Usiende ndani, kaa hapo hapo kwenye mlango wa chooYani hapa nimesha hara mara tatu. Huu ushabiki wa mpira utaniuwa [emoji25][emoji25]
PoleYani hapa nimesha hara mara tatu. Huu ushabiki wa mpira utaniuwa [emoji25][emoji25]
Hamna uezi wana Quater final nyie mdogo wangu. π€£π€£π€£Dah dd naona dalili zote za kwenda kuoga nikiwa tupu tupu
Hii pole siitaki si ya kutoka kumoyo ππππππPole
Aisee vibaya hivyo unafuraha hadi nimeona gego badala ya jinoπ