[emoji23][emoji23]Sio funguo tu litolewe upepo kwenye magurudumu wanaweza kuwa na funguo ya ziada.Afu Jambo lingine... Basi la Utopolo likiingia tu uwanjani Tunaomba Mageti Yafungwe.....Ikiwezekana Suka Anyang'anywe Funguo...! Leo hakuna Kukimbia.
Weee Simba mtakiona leo tunawapika supu๐ฌUtopolo Leo tunawavalisha pempasi, tunawaogesha,tunawapaka mafuta,tunawapakata
Taratibuuuuuuu tunawapa mambo matamu
Waaaaaaaaaaaaaaa!
JifarijiniWeee Simba mtakiona leo tunawapika supu๐ฌ
Piga Simba wa majumbani haooo, Simba og wapo porini nyie huku majumbani ni simba koko tu mtajuta leo๐๐Jifarijini
Mzee ya muongozo upo timu gani mkuu?Ngoja tuone...
Mtabakia kusema mabingwa wa kihistoriaPiga Simba wa majumbani haooo, Simba og wapo porini nyie huku majumbani ni simba koko tu mtajuta leo๐๐
Akii niwakimbie Simba wa kufugwa? Nipo sana mkuu ila na wewe usijehama jukwaa eeh let's wait and see๐ afu nani anaenda uwanjani wakuu tuibuke wote maana nimepania sanaa๐Mtani usije ukakimbia tu hili jukwaa ukae mpaka mwisho si unaona wengine hawathubutu kukaribia pa moto hapa, ila wewe umejitosha mapema.
Lazima akamatweSimba ni mnyama wa porini akija kariakoo tunampakata
Kwa timu ya wanaojiita timu ya wananchi, inabidi watufafanulieKombe la Historia linapatikana nchi gani?
aaa wapi utopolo Leo tunawafanyia massage Mkapa SPAWeee Simba mtakiona leo tunawapika supu๐ฌ