FT: Simba SC Vs Yanga SC (0-1)| Simba yashindwa kutwaa Ubingwa wa Ligi kuu uwanja wa Benjamin Mkapa

Pamoja na yote aliyo yafanya Manara, mbona sioni tusi pale , hivi mnajua maana ya kumdhalilisha mtu?.

Barbara Gonzalez CEO wa simba, baada ya Ile press, CLOUDS FM kwenye sport xtra wakiongozwa na Ediga kibwana walimtukana Sana na kwenda mbali zaidi wakamuita "Hoya Hoya" tena wakiwa live cha kushangaza sijasikia huyo mama analia lia popote.
 
Unajuwa kuna maneno mtaani unaweza kuyatumia tusi lakini kwa maana ya kusifia mfano " Jamaa anajuwa mpira nyoko huyu" na yako maneno mengi tu lakini hayo maneno huwezi kuyatumia kwenye media au public press. Wenzetu majuu ukitumia neno https://jamii.app/JFUserGuide kwa bahati mbaya sababu neno la kawaida mitaani kusifia kitu ila halikubaliki kulitumia rasmi wanaomba msamaha. Alichokosea Manara ni kutumia neno kudadadeki mara nyingi tu na ile kumwambia mwandishi hasa wewe nitaonesha SMS zako nilikuwa nakutafuta wewe naona umetumwa wewe maneno mengi yasiokuwa na ulazima. Manara anatakiwa ku act na weledi anawakilisha team kubwa sio press yako personal unaongelea taasisi sio maoni yako. Nadhani ile press atakuwa amejifunza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…