Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Team cassavaKwani we ni timu gani eti?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Team cassavaKwani we ni timu gani eti?
Tutawavaaa kama kaniki la maombolezo kwa wiki nzimaWatapotea kwenye ramani hapa wiki nzima baada ya leo kushindwa kupindua zulia
Nyie mnalazimisha tuu mie kuwa na mkia. Wala sina mkia mie zaida ya ule wa kiume 🤣🤣🤣🤣.Kumbe nawewe umemuona eeh? Anajificha nini sijui mzabzab
Zam kwa zamtunacheka kama mazuri.
badae tunakula 5
Kila kitu nyie hamuwezi bora sisi ndani tunawezaKikubwa hatujapoteza hivi vitimu vidogo vidogo ni kazi sana kuchezq navyo..Tushazoea kucheza na wakubwa wenzetu kina Esperance de tunis [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]
Hatubabaishwi hatukati tamaaa sifa za mnyamaaaaNguvu moja
HaaHatumtaki Matola
Mbona kimataifa mnaishi kwa historia?Tusiishi kwa historia
Tunatoboa...Nyie mnalazimisha tuu mie kuwa na mkia. Wala sina mkia mie zaida ya ule wa kiume 🤣🤣🤣🤣.
Ila nipeni utabiri wenu kuhusiana na kule tunis leo kwenye uwanja wa rhades....au ndio tuishie kusema tuombe mungu 🤣🤣🤣🤣