CAPO DELGADO
JF-Expert Member
- Aug 31, 2020
- 8,542
- 18,340
HUU MCHEZO UNGEKUWA HALISI INGEKUWA MECHI NZURI SANA.
Nasikia ndugu hawa tayari wamekutana mazoezini.
Nasikia ndugu hawa tayari wamekutana mazoezini.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Family matter!!
Two Uto's fighting to night.
Una maneno weweInafikirisha nini sasa hapo Comrade! Huo ni uamuzi tu wa timu husika, kutokana na kanuni kuwaruhusu kufanya hivyo.
Hata simba inaruhusiwa kwenda kucheza mechi mbili kwenye uwanja tofauti na ule wa nyumbani. Mfano kwenye ile mechi ya juzi na Yanga, alikuwa na uwezo wa kupeleka huko Singida ili akalipe kisasi! Ila kwa tamaa yake ya kutaka mapato makubwa, akakubali kufia kwa Mkapa kama hivi anavyofanya Singida Black Stars.
😀😀😃😀😃Vincenzo Jr kweli mna mashaka na tawi lenu kweli?? Yani anko mwigulu ndo mwenye shoo hawezi waacha mkaumbuka...
Game iko wapi?Bonge la game. Kila la kheri Young Africans
Punguza husdaGame iko wapi?
Hujasoma muda au unajitoa ufahamu?Game iko wapi?
Muda gani au unafurahia point tatu za yanga B!Hujasoma muda au unajitoa ufahamu?
Ndio nini sasa aliyekwambia mimi simba nani?Punguza husda View attachment 3138870
Itakua na Simba ni tawi letu maana ushindi mara 4 mfululizo sio mchezoMuda gani au unafurahia point tatu za yanga B!
Relax amigoNdio nini sasa aliyekwambia mimi simba nani?
Ila we jamaa bwana ila tunaomba kisiwepo na makosa ya kibinadamuInafikirisha nini sasa hapo Comrade! Huo ni uamuzi tu wa timu husika, kutokana na kanuni kuwaruhusu kufanya hivyo.
Hata simba inaruhusiwa kwenda kucheza mechi mbili kwenye uwanja tofauti na ule wa nyumbani. Mfano kwenye ile mechi ya juzi na Yanga, alikuwa na uwezo wa kupeleka huko Singida ili akalipe kisasi! Ila kwa tamaa yake ya kutaka mapato makubwa, akakubali kufia kwa Mkapa kama hivi anavyofanya Singida Black Stars.
Kwenye mechi yenu na Dodoma yalikuwepo kwenye mechi na Azam yalikuwepo mkuuIla we jamaa bwana ila tunaomba kisiwepo na makosa ya kibinadamu
Na vipi kuhusu Simba! Na yenyewe siyo tawi letu? Kichapo mechi nne mfululizo!! Kweli?Vincenzo Jr kweli mna mashaka na tawi lenu kweli?? Yani anko mwigulu ndo mwenye shoo hawezi waacha mkaumbuka...
Yanga ya Mkoani Vs Yanga ya Dar