Konda wa bajaj
JF-Expert Member
- Sep 10, 2024
- 604
- 918
Mtoto na ntoto na bahasha fc itatumika.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtoto na ntoto na bahasha fc itatumika.
Itakuwa ni kweli, maana wakati wanamchukua hakuwa anajulikana na watu walimbeza. Ila aliyemuona na kumpendekeza ashukuriwe sana.naona picha ya beki kitasa Ibrahim bacca koplo, jamaa injury record yake iko imara sana
Huyu jamaa bacca kama analipwa chini ya 15M kwa mwezi atakua mjinga sana, kiwango kikija kushuka mashabiki na club hawawezi kukukumbuka tena financially....
Kuna mahali niliwahi kuona(nadhani itakua uongo) kipindi iko bacca hajasign mkataba mpya kua analipwa 1M kwa mwezi, mzize 4M, Morrison 17M na herith makambo 10M aisee niliskia kutapika
Nimetikisika sana..sory nimesikitika sana!Vincenzo Jr kweli mna mashaka na tawi lenu kweli?? Yani anko mwigulu ndo mwenye shoo hawezi waacha mkaumbuka...
Cha ajabu point tatu kapewa yangaKichapo mechi ya 4 mlimchapa nani,? Sema tulijichapa wenyewe..
Yani mnafurahia goli la Simba...😄
yanga huwa wanapenda mambo ya giza,na leo watagongwa vizuriKwa Nini hizi mechi huwa zinachezwa usiku ili hali zile za Zanzibar zinachezwa jioni ya kawaida!?
Anyway itakuwa mechi ngumu itakayoamuliwa na "makosa ya kibinadam"
Haisee!!!HUU MCHEZO UNGEKUWA HALISI INGEKUWA MECHI NZURI SANA.
Nasikia ndugu hawa tayari wamekutana mazoezini.
YANGA BINGWA
Yanga bingwa
Ulisahau na hiiKwa Hisani Ya Pira Marefa...
Kwa Hisani Ya Pira Kayoko...
Kwa Hisani Ya Pira Kubebwa...
Teh teh teh...


utoporoKwani wao hawaogopi?YANGA UNAIFUNGAJE
Lilisikika puuzi moja la kayoleYanga watashinda kwa ushindi wa mrahisi,hii mechi ipo mikononi mwa Mwigulu vs Nchemba