version001
JF-Expert Member
- Jul 3, 2012
- 841
- 2,004
Huyu Sarr huyuBakar sar anatoka Lois ndani
Yaani wee mshenzi kweliGOOOOOOOOOLLL.....BALEEKEEEE
Simba wanapata goal hapa Kwa uzembevwa kipa[emoji32][emoji32][emoji3063][emoji3063]
Natania bana [emoji23][emoji23][emoji23]
Taabu ipo pale pale
Govi mojaGuvu moya [emoji23]
NiniSalim katuokoa.
Hakuna mipango yeyote ya kupata goli labda tubahatishe tu! Tukubali ukweli hatuna timu ya ushindani.Ile ruka ruka ya Singida FG haipo tena, ni swala la muda tu kuwakanda
Utauwa watu kwa pressure, bro. ohohoooohGOOOOOOOOOLLL.....BALEEKEEEE
Simba wanapata goal hapa Kwa uzembevwa kipa[emoji32][emoji32][emoji3063][emoji3063]
Natania bana [emoji23][emoji23][emoji23]
Taabu ipo pale pale
Ni kweli lakini hii game tunashindaHakuna mipango yeyote ya kupata goli labda tubahatishe tu! Tukubali ukweli hatuna timu ya ushindani.