FT: Singida FG 1 - 1 Simba (PNT: 2 - 3) | Mapinduzi Cup Semi Final | Amani Complex | 10.01.2024

Tuseme ukweli tu.
Kwa hili la leo Simba tumebebwa wazi wazi, Refa alisimama na sisi kwa 100%.

Tumewadhulumu Singida wazi wazi.
 
Kwenye mikwaju ya penati ni ngumu Singida kufanya vizuri kwasababu wachezaji wote wa Singida wameshatoka mchezoni wamepaniki kupita maelezo.
 
Simba wanapoteza kwa kukosa penati 2....ahahahaa
 
Nadhani waandaji walitaka Simba au Yanga watinge fainali ili kuongeza mvuto na hamasa.

Kiukweli haijakaa poa.
 
Kufungwa afungwe singida.. lawama atoe UTOPOLO.. si mwanzo wa kufanywa kinyume na maumbile? Mechi si yako umeivalia jezi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…