MoneyHeist4
JF-Expert Member
- Jul 10, 2017
- 2,134
- 3,192
🤣🤣🤣🤣🤣 dadeqUpdates za penat jmn wengine tunabandua watoto wa watu huku..
sio kulia refa akakulizaIla mpira wa miguu mchezo wa kikatili sana unaweza kucheka mwanzoni mwishoni ukalia.
Ndani ya Dk 6 Singida hawajapoteza hata Dk 1Unaweza kuongeza dk 6 ila ndani ya hizo dk 6 wachezaji bado wanapoteza muda kwahiyo refa anajiongeza.
Mambo yamebadilika kidogo. Sasa tusubiri wala ndege wakikutana na myama na siyo ndege.Tayari Simba kesha kamatwa huko, bado kuchinjwa tu wauni wamfanye chapso.
Yajayo yananoga.
Kalipa fadhilaKagereeeee....[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]