Ibra tiger
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 294
- 707
Ila simba Tumebewa na Tren ya Refa leo Tungewaachia tu Singida Wacheze Sipendagi Dhulma mimi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hongera.....ila ukweli moyoni unaujua.Pole
Refa alijuaje ni dakika 8 ndio zimeongezwa wakati kibao cha dakika kilionesha ni dakika 6?Naamini refa alikuwa anajua nyongeza dk 8
Simba imeenda fainali.Walalamikaji wengi wapo kihisia hata nilipowaomba ufafanuzi wa kilichotokea hakuna aliyejitokeza kutoa sababu ya maana
Hii inafanya ionekane watu ambao hawajaona mpira washindwe kujua nini kimefanyika
Na pointi hiyo inapoteza maana halisi ya live updates kama vitu sensitive kama hivi vinaishia gizani na watu tunaowategemea kutoa ufafanuzi wapo kihisia
TukabebekaMmebebwa
WamemlogaaaSasa Kagere anacheza nini hiki
Kaonyesha ufundi wake[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sasa Kagere anacheza nini hiki
Msalimie shemejiNikalale na Amani ya Kristo sasa...
Kesho sijui ningeficha wapi sura yangu.[emoji3]
Hongereni wana Simba wenzangu.
Majibu ya Khalid Aucho na wenzake kukosa penati mliyapata?Kagere atupe majibu mazuri ya hii penalty. Lengo hasa lilikua ni nini
Kachukueni tu.Hii 100M ni ya Simba mkuu
Nakushauri upunguze matumaini makubwa kwenye soka maana utaugua magonjwa yasiyoambukizwasijauliza matumizi
nimeuliza ziliongezwa sita huyu hadi zinafika tisa alipata wapi zingine ikinijibu ndo tuje zilitumiwaje ndo ntakuuliza kona ilitokea wap
Mchambuzi... enhee tuambie Video Assistant Referee..Ulimuona salim alitoka kabla ya medi kupiga penalt ? Uchawi upo aisee
Atapokea[emoji3]Msalimie shemeji