FT: Singida FG 1 - 1 Simba (PNT: 2 - 3) | Mapinduzi Cup Semi Final | Amani Complex | 10.01.2024

FT: Singida FG 1 - 1 Simba (PNT: 2 - 3) | Mapinduzi Cup Semi Final | Amani Complex | 10.01.2024

Ila simba Tumebewa na Tren ya Refa leo Tungewaachia tu Singida Wacheze Sipendagi Dhulma mimi
 
Naamini refa alikuwa anajua nyongeza dk 8
Refa alijuaje ni dakika 8 ndio zimeongezwa wakati kibao cha dakika kilionesha ni dakika 6?

Hata hivyo hizo dakika 8 zilikwisha, mbona hakumaliza mpira?

Refa alijuaje ile ni kona wakati watu wote waliona haikuwa kona na lines man alisema ni goal kick?
 
Walalamikaji wengi wapo kihisia hata nilipowaomba ufafanuzi wa kilichotokea hakuna aliyejitokeza kutoa sababu ya maana

Hii inafanya ionekane watu ambao hawajaona mpira washindwe kujua nini kimefanyika

Na pointi hiyo inapoteza maana halisi ya live updates kama vitu sensitive kama hivi vinaishia gizani na watu tunaowategemea kutoa ufafanuzi wapo kihisia
Simba imeenda fainali.
 
  • Thanks
Reactions: BRN
Nimeiona clip aisee, ile kona ina walakini
 
Ashakula chake hapo..siyo bure,
Hata mtu asiye mchezaji hawezi kufanya vile
 
Back
Top Bottom