Zanzibar-ASP
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 11,550
- 40,697
Na vipi tukisema Kennedy nae kachomesha kwasababu ni mchezaji wa zamani wa Singida?! Itakuwa ngoma droo sio?Hivi nyie kwa akili zenu mlitegemea kagere afunge ile penalt?😀
Kivipi?! Elezea kimpira.Simba leo tumeshinda lakini haijakaa vizuri, jana Mlandege naye kashinda kwa namna kama hii.
Fainali ya Mapinduzi imekaa kimchongo fulani hivi. Naona waandaji baada ya kuona Yanga wametolewa wakaona isiwe shida, ngoja basi hata Simba atinge fainali ili kuongeza hamasa.
🤣🤣 yani nachanganyikiwa mjukuu wanguKocha wa APR asikilizwe ana hoja....
Unaacha na bado unaangalia mechi zinazofuata,hata ukiacha kuangalia haisadii chochoteMajuzi niliacha kuangalia baada ya azam kufunga goli la offside na refa akalikubali, Jana niliacha kuangalia ile match. Baada ya apr kufunga goli la wazi afu refa akasema alizidi. Leo niliachia pale kipa alivyodaka mpira nje ya uwanja ili aanze lakini akaambiwa ni kona.
Kwa nini hamkuongeza mabao katika hizo dakika za nyongeza?
Halafu waliofungwa ni Singida ninyi mnakaza fuvu la nini jamani 😂😂
🤣🤣🤣🤣 mwambie awaache marefa wetuWamefanyaje tena mkuu?
Oyaa marefa wa Mapinduzi ni matapeliKivipi sasa. Kina ni halisi, dakika wamepoteza Singida. Mkuje kututazama pia fainali
Aliongeza ili Singida wapate Goli la 2 tupate aibu zaidi ila ikawa kinyume chakeUshirikina wapi wakati refa kawapeleka hadi dakika 98 wakati zimeongezwa 96
Hizo dakika walicheza simba pekeyao?96 paka 98 😂🤣😁😁
Hujajibu swali langu bwashee
Wewe ni refa¿Mchezo umekwisha lakini makosa ya mwamuzi yamewacost Singida FG, Goli la Simba limepatikana dakika ya 98 wakati ziliongezwa dakika 6, 90+6=96.
[emoji848][emoji848]
Zanzibar kuna TFF?! Aibu[emoji81][emoji81][emoji81] mkubwa pamoja na kuweka full mkoko ila bado ana pitia kitonga cha TFF