Zanzibar-ASP
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 11,550
- 40,697
Simba leo tumeshinda lakini haijakaa vizuri, jana Mlandege naye kashinda kwa namna kama hii.
Fainali ya Mapinduzi imekaa kimchongo fulani hivi. Naona waandaji baada ya kuona Yanga wametolewa wakaona isiwe shida, ngoja basi hata Simba atinge fainali ili kuongeza hamasa.
Fainali ya Mapinduzi imekaa kimchongo fulani hivi. Naona waandaji baada ya kuona Yanga wametolewa wakaona isiwe shida, ngoja basi hata Simba atinge fainali ili kuongeza hamasa.