FT: Singida FG 1 - 1 Simba (PNT: 2 - 3) | Mapinduzi Cup Semi Final | Amani Complex | 10.01.2024

Ile penati ya Kagere ingeingia ingekuwa bonge la penati, alipiga kwa kujiamini sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Saido alipopiga ile cross beki aliweka mguu na kugusa mpira kidogo,tatizo unaumia kwasababu tawi lenu limefungwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mchezo umekwisha lakini makosa ya mwamuzi yamewacost Singida FG, Goli la Simba limepatikana dakika ya 98 wakati ziliongezwa dakika 6, 90+6=96.
Mkuu we hujaona wale Jamaa wa Singida waliounawa mpira tena ndani ya box kabisa?!
Ulikuwa busy tu kuangalia muda ambao kwa sehemu kubwa ulikuwa unapotezwa na Wachezaji wa Singida FG?
 
Haya ndio maoni yangu baada ya kuangalia mazingira ya bao.

Critics wengi walikuwa wanalalamikia swala la kuongeza dakika 6 na mpira kuchezwa hadi dakika 9 ambapo ndio goli lilipozaliwa.

Kwasababu sikuangalia mpira kwa dakika hizo, na highlights hazikupi matukio yote yaliyofanyika katika muda wa dakika 75 nilioondoka nashindwa kuamua kama ni kweli hayo malalamiko yao yana reasons

Nasema hivyo kwasababu inawezekana baada ya hizo dakika 6 refa alizoongeza, Singida walikuwa wanajiangusha na kupoteza muda kimakusudi.

Kwa scenario hiyo refa kuendeleza mpira kupitiliza zile dakika 6 ni fair kabisa.

Lakini baada ya kuona highlights ya goli nimeona kulikuwa na hoja ya msingi ya critics kulaumu, lakini kwa bahati mbaya wengi hawakujikita huko.

Hoja ya msingi ambayo mimi nilitegemea kuona inazungumzwa na critics ilikuwa ni ile controversial ya kona baada ya kipa wa Singida kudaka mpira.

Kwa bahati katika kipindi cha kwanza tukio kama hilo lilitokea na mimi nilishuhudia kipa akidaka mpira kwa mazingira kama hayo hayo na maamuzi yaliyotolewa ni hayo hayo.

Utofauti ni kwenye matokeo ya hiyo kona.

So at least wangekuja na hoja hii kumlalamikia mwamuzi japo hili nalo limekaa paradoxically sana magwiji mtakuja kuweka sawa kwenye hili (lakini wakati mnaweka sawa si tayari tupo fainali)

Tumeshinda ndio kitu muhimu
Your browser is not able to display this video.
 
Na msemaji wa Yanga, Ally Kamwe, akamtaka kocha huyo aombe radhi hadharani kwa kauli aliyotoa maana mashindano haya ni makubwa na yenye hadhi. Tumsikilize nani, wewe au Ally Kamwe? 🤣🤣🤣
Msikilize bwana Ako Ali KAMWE, mi situmiagi hizo
 
Yule mwamuzi wa CAFCL alipoacha Simba Sc ifungwe na Wydad kwenye dakika ambazo ni zaidi ya zile alizoongeza alikuwa sahihi, ila huyu kwakua anatoka kwa wala urojo ndio alaumiwe?
Ndugu, makosa ni makosa tu, mchezo wa mpira wa miguu ni mchezo wa makosa, pili usilazimishe kosa alilofanya mwamuzi lisiwe kosa wakati linakwenda kuicost timu moja. Ndio maana hata ukichezewa rafu ni kosa lakini kwa vile refa hakuona endapo ukirudisha ni kosa na refa akiona utapata adhabu. 👍🏾
 
Haya ndio maoni yangu baada ya kuangalia mazingira ya bao.

Critics wengi walikuwa wanalalamikia swala la kuongeza dakika 6 na mpira kuchezwa hadi dakika 9 ambapo ndio goli lilipozaliwa.

Kwasababu sikuangalia mpira kwa dakika hizo, na highlights hazikupi matukio yote yaliyofanyika katika muda wa dakika 75 nilioondoka nashindwa kuamua kama ni kweli hayo malalamiko yao yana reasons

Nasema hivyo kwasababu inawezekana baada ya hizo dakika 6 refa alizoongeza, Singida walikuwa wanajiangusha na kupoteza muda kimakusudi.

Kwa scenario hiyo refa kuendeleza mpira kupitiliza zile dakika 6 ni fair kabisa.

Lakini baada ya kuona highlights ya goli nimeona kulikuwa na hoja ya msingi ya critics kulaumu, lakini kwa bahati mbaya wengi hawakujikita huko.

Hoja ya msingi ambayo mimi nilitegemea kuona inazungumzwa na critics ilikuwa ni ile controversial ya kona baada ya kipa wa Singida kudaka mpira.

Kwa bahati katika kipindi cha kwanza tukio kama hilo lilitokea na mimi nilishuhudia kipa akidaka mpira kwa mazingira kama hayo hayo na maamuzi yaliyotolewa ni hayo hayo.

Utofauti ni kwenye matokeo ya hiyo kona.

So at least wangekuja na hoja hii kumlalamikia mwamuzi japo hili nalo limekaa paradoxically sana magwiji mtakuja kuweka sawa kwenye hili (lakini wakati mnaweka sawa si tayari tupo fainali)

Tumeshinda ndio kitu muhimu
View attachment 2867830
 
Haya ndio maoni yangu baada ya kuangalia mazingira ya bao.

Critics wengi walikuwa wanalalamikia swala la kuongeza dakika 6 na mpira kuchezwa hadi dakika 9 ambapo ndio goli lilipozaliwa.

Kwasababu sikuangalia mpira kwa dakika hizo, na highlights hazikupi matukio yote yaliyofanyika katika muda wa dakika 75 nilioondoka nashindwa kuamua kama ni kweli hayo malalamiko yao yana reasons

Nasema hivyo kwasababu inawezekana baada ya hizo dakika 6 refa alizoongeza, Singida walikuwa wanajiangusha na kupoteza muda kimakusudi.

Kwa scenario hiyo refa kuendeleza mpira kupitiliza zile dakika 6 ni fair kabisa.

Lakini baada ya kuona highlights ya goli nimeona kulikuwa na hoja ya msingi ya critics kulaumu, lakini kwa bahati mbaya wengi hawakujikita huko.

Hoja ya msingi ambayo mimi nilitegemea kuona inazungumzwa na critics ilikuwa ni ile controversial ya kona baada ya kipa wa Singida kudaka mpira.

Kwa bahati katika kipindi cha kwanza tukio kama hilo lilitokea na mimi nilishuhudia kipa akidaka mpira kwa mazingira kama hayo hayo na maamuzi yaliyotolewa ni hayo hayo.

Utofauti ni kwenye matokeo ya hiyo kona.

So at least wangekuja na hoja hii kumlalamikia mwamuzi japo hili nalo limekaa paradoxically sana magwiji mtakuja kuweka sawa kwenye hili (lakini wakati mnaweka sawa si tayari tupo fainali)

Tumeshinda ndio kitu muhimu
Your browser is not able to display this video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…