Tsh
JF-Expert Member
- Aug 26, 2021
- 17,022
- 36,936
Anadondoka sana.Babu saido hua najiuliza kwa nini hua anaanza first eleven
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anadondoka sana.Babu saido hua najiuliza kwa nini hua anaanza first eleven
jamaa anajiangusha sanaAnadondoka sana.
Mzeee huyojamaa anajiangusha sana
inanikumbusha mechi ya kutafuta mshindi wa ngao ya jamii alibebwa namna hii hiiRefa keshaambiwa lazima kolo wizard ashinde hii game no matter what
Mnawashwa washwa sana..TUJIKUMBUSHE
Updates
Kolo 0 .......1 singida el de wananchi
Slogan ... hatumtaki benchika na mangungu
Simba [emoji250] [emoji250] [emoji250]. Guvu moya
Simba anabebwa vipi?inanikumbusha mechi ya kutafuta mshindi wa ngao ya jamii alibebwa namna hii hii
Mitembeo Sawa, ipo.Mitembeo?
Mzeee huyo
[/QUOnahivi kabahatisha kugonga post hapo ataachwa atumbuize dakika 90.Mnataka Saidoo asicheze hizo faulo wapige akina nani?
Mmeanzaa sasa, msitafute 7bu kila team itapata matokeo halali.Refa keshaambiwa lazima kolo wizard ashinde hii game no matter what
Sizinga unakunywa kinywaji gani?Makombe ya Simba ndo haya madogomadogo
Tupo slow.Timu inacheza slow sana! Hata wakifika golini unaona hawajui wafanye nini? Wanakimbizwa muda wote.
Ukiona Simba imepata goli ujue limepatikana kimazabe tu bila mipango, hivi viongozi hawaoni Saidoo,Onana Bareke Phiri kuwa wamechoka!