FT: Singida FG 1 - 1 Simba (PNT: 2 - 3) | Mapinduzi Cup Semi Final | Amani Complex | 10.01.2024

FT: Singida FG 1 - 1 Simba (PNT: 2 - 3) | Mapinduzi Cup Semi Final | Amani Complex | 10.01.2024

Nyakati zimeisha! Simba ile ya kutisha imeisha,Simba sasa hivi haiogopwi tena,ile timu iliyokuwa inatetemesha wapinzani imekufa!
Ile timu iliyokuwa ina viongozi wafia timu Mzee Dalali, Marehemu Hanspope,Kaduguda,Mzee Magoli,Khasim Dewji, timu ilikuwa ina wavuja jasho haswaa!

Leo tunafungwa na utopolo tano halafu wachezaji wanafurahi na kupiga picha na wapinzani kwa furaha na viongozi wanatabasamu tu!!

Leo tunamlilia mchezaji mmoja mzee bila yeye hatuna matokeo! Viongozi uzungu umekuwa mwingi na udalali tu,wachezaji wanacheza wanavyojisikia tu hakuna presha yeyote wanayopata kutoka kwa viongozi, wachezaji wazee wakina Ntibazonkinza ndio tegemeo la Simba!! Upuuzi mtupu,Simba haitakaa iamke tena.
Timu imejaa siasa na wanasiasa,CEO yeye kila siku anakuja na project uchwara hakuna jipya! Timu za vijana zimetelekezwa wachezaji wamekimbia! Tunaambiwa ni timu bora africa ila huo ubora wala mipango ya ubora haipo ni ujinga tu.
 
Nyakati zimeisha! Simba ile ya kutisha imeisha,Simba sasa hivi haiogopwi tena,ile timu iliyokuwa inatetemesha wapinzani imekufa!
Ile timu iliyokuwa ina viongozi wafia timu Mzee Dalali, Marehemu Hanspope,Kaduguda,Mzee Magoli,Khasim Dewji, timu ilikuwa ina wavuja jasho haswaa!

Leo tunafungwa na utopolo tano halafu wachezaji wanafurahi na kupiga picha na wapinzani kwa furaha na viongozi wanatabasamu tu!!

Leo tunamlilia mchezaji mmoja mzee bila yeye hatuna matokeo! Viongozi uzungu umekuwa mwingi na udalali tu,wachezaji wanacheza wanavyojisikia tu hakuna presha yeyote wanayopata kutoka kwa viongozi, wachezaji wazee wakina Ntibazonkinza ndio tegemeo la Simba!! Upuuzi mtupu,Simba haitakaa iamke tena.
Timu imejaa siasa na wanasiasa,CEO yeye kila siku anakuja na project uchwara hakuna jipya! Timu za vijana zimetelekezwa wachezaji wamekimbia! Tunaambiwa ni timu bora africa ila huo ubora wala mipango ya ubora haipo ni ujinga tu.
Bado hujasema [emoji23]
 
Nyakati zimeisha! Simba ile ya kutisha imeisha,Simba sasa hivi haiogopwi tena,ile timu iliyokuwa inatetemesha wapinzani imekufa!
Ile timu iliyokuwa ina viongozi wafia timu Mzee Dalali, Marehemu Hanspope,Kaduguda,Mzee Magoli,Khasim Dewji, timu ilikuwa ina wavuja jasho haswaa!

Leo tunafungwa na utopolo tano halafu wachezaji wanafurahi na kupiga picha na wapinzani kwa furaha na viongozi wanatabasamu tu!!

Leo tunamlilia mchezaji mmoja mzee bila yeye hatuna matokeo! Viongozi uzungu umekuwa mwingi na udalali tu,wachezaji wanacheza wanavyojisikia tu hakuna presha yeyote wanayopata kutoka kwa viongozi, wachezaji wazee wakina Ntibazonkinza ndio tegemeo la Simba!! Upuuzi mtupu,Simba haitakaa iamke tena.
Timu imejaa siasa na wanasiasa,CEO yeye kila siku anakuja na project uchwara hakuna jipya! Timu za vijana zimetelekezwa wachezaji wamekimbia! Tunaambiwa ni timu bora africa ila huo ubora wala mipango ya ubora haipo ni ujinga tu.
Pole mkuu.

Umeandika kwa uchungu sana!
 
Nyakati zimeisha! Simba ile ya kutisha imeisha,Simba sasa hivi haiogopwi tena,ile timu iliyokuwa inatetemesha wapinzani imekufa!
Ile timu iliyokuwa ina viongozi wafia timu Mzee Dalali, Marehemu Hanspope,Kaduguda,Mzee Magoli,Khasim Dewji, timu ilikuwa ina wavuja jasho haswaa!

Leo tunafungwa na utopolo tano halafu wachezaji wanafurahi na kupiga picha na wapinzani kwa furaha na viongozi wanatabasamu tu!!

Leo tunamlilia mchezaji mmoja mzee bila yeye hatuna matokeo! Viongozi uzungu umekuwa mwingi na udalali tu,wachezaji wanacheza wanavyojisikia tu hakuna presha yeyote wanayopata kutoka kwa viongozi, wachezaji wazee wakina Ntibazonkinza ndio tegemeo la Simba!! Upuuzi mtupu,Simba haitakaa iamke tena.
Timu imejaa siasa na wanasiasa,CEO yeye kila siku anakuja na project uchwara hakuna jipya! Timu za vijana zimetelekezwa wachezaji wamekimbia! Tunaambiwa ni timu bora africa ila huo ubora wala mipango ya ubora haipo ni ujinga tu.
Umeandika kwa Uchungu sana mkuu!!
 

Attachments

  • JamiiForums-1769471325.jpg
    JamiiForums-1769471325.jpg
    64 KB · Views: 2
GOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOO9OOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOO DK ZA JIONI .....BALEEKEEEE ANAPATA BAO






Simba wanapata goal hapa Kwa uzembevwa kip[emoji32][emoji32][emoji3063][emoji3063]




Natania bana [emoji23][emoji23][emoji23]

Taabu ipo pale pale
Acha uchoko
 
Back
Top Bottom