Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nafatilia jfBenchika rusha ww uwo mpira naona wachezaj wak wanachelewa
refa apewe pongezi zake, yanajirudia yale yale ya ngao ya jamiiNo one can stop Simba in this mbugilambugila league haya tumesawazisha huko
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Atasema tu, mwache kwanza aneng'eneke.Bado hujasema [emoji23]
Mimi hayo basi nayajua rafiki yangu mimi siyajui na sitaki kuyajua kikubwa ushindiKwakubebwaaa
Imekuwaje mkuu maana hapa napokea simu nyingi za Utopolo wakimlaumu refaIlikuwa aibu sana, kumaliza hii game kwa kufungwa.
KafanyeRefa vp maliza mpira huooooooo...... tukafanye shughuli nyingine.
Nilisema hiiMarefa watakoma leo Kolo wasiposhinda hii game.
Refa mjinga.Mpira Wa Afrika ni wa Kis*nge Sana
Maajabu ya soka la AfrikaNimeondoka dakika y 75 luku iliisha ebu niambieni kilicho jiri?
Refa ana kosa gani. Be fairRefa analeta siasa badala ya kumaliza mpira. Dakika sita za nyongeza goli linafungwa dakika ya 8 ya ngongeza.