OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Ukiongezewa muda cheza sio kujilaza. Hivi hizo dk 2 Singida hawakuwa wanacheza? Fichezi Utopolo basi96 paka 98 😂🤣😁😁
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukiongezewa muda cheza sio kujilaza. Hivi hizo dk 2 Singida hawakuwa wanacheza? Fichezi Utopolo basi96 paka 98 😂🤣😁😁
Si wapo wawili kule? Au nao wameshaungana na wenzao!Unafkir UTOPOLO wana Akili? Sijawahi ona Shabiki wa Yanga mwenye akili timamu.. sijawahi kuona.. na haitotokea milele.
Scars unajua unachofanya, kaka hili ni soka letu tuache wenyewe.Mkuu tuwe tu wakweli hivi ukiangalia ulichoandika hapo unakuwa umejibu swali langu?
Ngoja nitaitafuta clip ya marejeo kutoka Azam maana mlioangalia mmeshindwa kuelezea tukio
Mchezo umekwisha lakini makosa ya mwamuzi yamewacost Singida FG, Goli la Simba limepatikana dakika ya 98 wakati ziliongezwa dakika 6, 90+6=96.
Naunga mkono hojaMapinduzi Cup wasipofikiria kutumia marefa wa nje, basi mashindano hayo yatakufa. Mwaka huu timu zote mbili zilizoingia fainali zimebebwa na marefa tu; kwa uhakika fainali halisi ilitakiwa kuwa baina ya APR na Singida
Sawa dadaWasije.. kwani lazima? Na ww hujalazimishwa kufatilia ni shobo na miwasho ya hapa na pale
Mbengo zimefongoka, Simba Mnyama wa mwituni katinga fainaliNini kimetokea?
Marefa kaka wamewabebeniUkiongezewa muda cheza sio kujilaza. Hivi hizo dk 2 Singida hawakuwa wanacheza? Fichezi Utopolo basi
Dakika 2 ni nyingi sana ilitakiwa angalau sekunde hata 10..labda alipata maelekezo.Mchezo umekwisha lakini makosa ya mwamuzi yamewacost Singida FG, Goli la Simba limepatikana dakika ya 98 wakati ziliongezwa dakika 6, 90+6=96.
Mwasibu naomba uweke kumbukumbu Sawa. Kati ya dakika ya 90 na 96 ni mchezaji gani wa Singida aliyelala dakika 2?Ukiongezewa muda cheza sio kujilaza. Hivi hizo dk 2 Singida hawakuwa wanacheza? Fichezi Utopolo basi
96 paka 98 😂🤣😁😁
Ppole kwa maumivu mkuu, kunywa maji ya baridi kdgo ulale.Mapinduzi Cup wasipofikiria kutumia marefa wa nje, basi mashindano hayo yatakufa. Mwaka huu timu zote mbili zilizoingia fainali zimebebwa na marefa tu; kwa uhakika fainali halisi ilitakiwa kuwa baina ya APR na Singida
yaani ufananishe matukio mawili simba tayari alisha poteza singida angeongeza hawezi lalamika maana tayari kasha lala yoooohBhasi sawa nimejua shida iko wapi 🤣🤣🤣