Paul dybala
JF-Expert Member
- Jul 30, 2023
- 524
- 2,097
waulize kilicho wakutaWamepaki
Mwenyewe kabisa
washaachiahawa wanashikiria bomba wataachia tu
anakwambia kibu ni hatari kuliko mayeleLe Magician Aziz Ki
Mwasibu unasemaje hapo? OKW BOBAN SUNZU
Tulia wewe, mbona nyie uzi wenu mmeukimbia?Pole sana uko peke yako hapa
Wananchi kujitokeza ni mpaka wasikie goli
Hivi hivi utajikuta uzi mzima unaongea peke yako tu
Mwasibu wa mchongoanakwambia kibu ni hatari kuliko mayele
Kuanzia hapa sasa utashuhudia jamGoaaaaaaaaal
Comment za baada ya Azizi Ki kufungaTulia wewe, mbona nyie uzi wenu mmeukimbia?
Ndio tulikuwa huko…