Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 32,603
- 62,269
Mimi ni mnyamaaaaaaNa Bado Kikosi cha kwanza hawapo; ONANA, INONGA NA NGOMA. Kazi mnayo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi ni mnyamaaaaaaNa Bado Kikosi cha kwanza hawapo; ONANA, INONGA NA NGOMA. Kazi mnayo
Gooooooooooooooo....Match Day.
Leo Simba anatupa karata yake kwenye mchezo wa 12 wakiwa na Points 26. Nafasi ya 3. Anayeongoza Ligi ana points 34.
Mpaka sasa Simba amepoteza Mchezo 1 Draw 2 na Ameshinda 8.
Wapinzani Wao Tabora wako nafasi ya 12 kwenye msimamo wakiwa na points 15.
Mchezo utafanyika Saa 10jioni.
Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi, Tabora.
Tukutane hapa kwa updates...
Uran!!
KIKOSI CHA TABORA UNITED KINACHOANZA.
KIKOSI CHA SIMBA KINACHOANZA
All the Best Mnyama.
#nguvumoja#...
=====
Mchezo umeanza
5' Kasi ya mchezo bado sio kubwa
9' Mchezo unachezwa katikati kwa muda mwingi
14' Simba wanafanya shambulizi kali, shuti la Saido linagonga nguzo na kutoka nje.
19' GOOOOOOOOOOOOOOOOO
Mshambuliaji Pa Omary Job anaipatia Simba goli kwa njia ya kichwa
30' Simba wanamiliki mchezo muda mwingi
GOOOOOOOOO
Sadio Kanoute anaipatia Simba goli la pili kwa kichwa akimalizia krosi ya Shomari Kapombe.
45' Zinaongezwa dakika 2 za nyongeza
MAPUMZIKO
GOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOO
60' Beki wa kati Che Fondoh Malone anaipatia Simba goli la tatu baada ya kutokea piga nikupige.
86' Fredy Michael anafunga goli la nne kwa Simba
Tukimfunga Azam tu tunakuwa na michezo sawa halafu watatuzidi points 2, tutakuwa tunawafukuzia kimya kimya tu wakidraw tu tukashinda tutawazidi wao points mbili, ubingwa bado sana lazima kielewekeMkuu naomba kuuliza, kwa hizi points walizotuzidi yanga na kwa mechi za ligi zilizobaki kuna uwezekano wa kuwapiku na kuchukua ubingwa, jana nilimind sana dodoma walivyowaachia zile points tatu saa hii tungekuwa tumepunguza gap yani
Kabisa mambo ndo kwanza yameanza...Tumembakiza Azam, kila mtu ashinde mechi zake, wanaongoza ligi ila mioyo inawadunda
Sent using Jamii Forums mobile app
Kipa alikuwa pale pale,alitegemea jamaa kutoa pass upande mwingine,anataka kuhamia upande mwingine jamaa anapiga pale pale kipa anajaribu kurudi kuokoa mwili unakataa.Anayeforce iwe hivyo ni Uto.
wala sio Tabora.
Tumewabakisha Azam tu sasa.
Mechi ya Kisasi.
Mechi ya leo ilikuzwa sana as if Tabora wanatisha sana kumbe hamna kitu,Azam Mwanza hafurukuti labda Dar, huko mikoani huwa wanapigwa tu.Kabisa mambo ndo kwanza yameanza...
Kwa akili yako fupi ukiona mtu amevaa jezi ya Simba unaconclude kuwa huyo ni Simba?Pia akili yako inakwambia kuwa mchawi akiwa anaroga anataka watu watambue kuwa yeye ni mchawi hivyo atavaa mavazi yanayomtambulisha yeye ni nani?Kuna video inatembea ikionyesha jinsi Simba wanavyo mwaga unga (dawa) kabla ya mechi yaani hadharani bila woga .
Wakati uo wachezaji wa Simba wakiwa kwenye benchi lao wakijiandaa kupasha misuli moto.
Nilifikiri walijifunza kule South Africa kumbe Bado.
Aya mambo ndio Azam walikataa kufanyika katika uwanja wao na ndio sabau Simba wanahangaika kupata uwanja watakao ruhusiwa kufanya hivi.
Natumaini kwa muda ule wa tukio Match commissioner alikuwepo na Tukio lile litakuwa limeripotiwa katika ripoti yake ya mchezo
Hatutegemei kamati ya saa 72 kukalia kimya swala ilo maana Simba walisha liaibisha Taifa kule South Sasa niwakati wa bodi ya Ligi.
Ila Watu[emoji2][emoji1787][emoji1787]Vip umemaliza kulia?? Pole sana
Jf Kila mtu mchambuzu au mchezajiKadake basi tuone kama utaweza
Azam mechi hii ni ya kisasi.Tumembakiza Azam, kila mtu ashinde mechi zake, wanaongoza ligi ila mioyo inawadunda
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio unga wala nini,ni powder ya kunyonya maji ya mvua ambayo ilinyesha jana tabora na kusababisha eneo la kipa kuwa linateleza,na kama ujuavyo eneo la kipa likiteleza wachezaji lazima watakuwa wanashindwa kuscore kwa kuanguka anguka...sasa ndugu zetu utopolo wao kila kitu wanawazaga uchawi tuu.Unga umemwagwa na nani?
Imeuma eeh??Kipimo kizuri ni tar 9,kanjibai hana helaya kuwapa azam,makolo mnaona wenyewe kua timu hamna msijifariji
Acha ushamba,we umejuaje kama ni dawa??bogusKuna video inatembea ikionyesha jinsi Simba wanavyo mwaga unga (dawa) kabla ya mechi yaani hadharani bila woga .
Wakati uo wachezaji wa Simba wakiwa kwenye benchi lao wakijiandaa kupasha misuli moto.
Nilifikiri walijifunza kule South Africa kumbe Bado.
Aya mambo ndio Azam walikataa kufanyika katika uwanja wao na ndio sabau Simba wanahangaika kupata uwanja watakao ruhusiwa kufanya hivi.
Natumaini kwa muda ule wa tukio Match commissioner alikuwepo na Tukio lile litakuwa limeripotiwa katika ripoti yake ya mchezo
Hatutegemei kamati ya saa 72 kukalia kimya swala ilo maana Simba walisha liaibisha Taifa kule South Sasa niwakati wa bodi ya Ligi.
Azam tutamsulubu tutakavyo.Subilia ijumaa mechi na Azam ndio utajua kajipata ama kibunda kimefanya yake!
Upuuzi wake unamfanya asione chochoteMpira uliguswa na beki ule ndio ukampoteza kama unazungumzia goli la nne
Kuna video inatembea ikionyesha jinsi Simba wanavyo mwaga unga (dawa) kabla ya mechi yaani hadharani bila woga .
Wakati uo wachezaji wa Simba wakiwa kwenye benchi lao wakijiandaa kupasha misuli moto.
Nilifikiri walijifunza kule South Africa kumbe Bado.
Aya mambo ndio Azam walikataa kufanyika katika uwanja wao na ndio sabau Simba wanahangaika kupata uwanja watakao ruhusiwa kufanya hivi.
Natumaini kwa muda ule wa tukio Match commissioner alikuwepo na Tukio lile litakuwa limeripotiwa katika ripoti yake ya mchezo
Hatutegemei kamati ya saa 72 kukalia kimya swala ilo maana Simba walisha liaibisha Taifa kule South Sasa niwakati wa bodi ya Ligi.
Nikajikuta nashangilia tenaShangilia tena. 😂😂😂
Yani li bin kazumari limeaibika...ndo maana nashangaa yani mchana kweupe vileSio unga wala nini,ni powder ya kunyonya maji ya mvua ambayo ilinyesha jana tabora na kusababisha eneo la kipa kuwa linateleza,na kama ujuavyo eneo la kipa likiteleza wachezaji lazima watakuwa wanashindwa kuscore kwa kuanguka anguka...sasa ndugu zetu utopolo wao kila kitu wanawazaga uchawi tuu.
Mpaka mthemeKuna video inatembea ikionyesha jinsi Simba wanavyo mwaga unga (dawa) kabla ya mechi yaani hadharani bila woga .
Wakati uo wachezaji wa Simba wakiwa kwenye benchi lao wakijiandaa kupasha misuli moto.
Nilifikiri walijifunza kule South Africa kumbe Bado.
Aya mambo ndio Azam walikataa kufanyika katika uwanja wao na ndio sabau Simba wanahangaika kupata uwanja watakao ruhusiwa kufanya hivi.
Natumaini kwa muda ule wa tukio Match commissioner alikuwepo na Tukio lile litakuwa limeripotiwa katika ripoti yake ya mchezo
Hatutegemei kamati ya saa 72 kukalia kimya swala ilo maana Simba walisha liaibisha Taifa kule South Sasa niwakati wa bodi ya Ligi.