Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Niwakumbushe tu TABORA huwa wanafika golini ile sio mashujaa kwahiyo wanasimba mkae kwa kutulia kwa mtakachokutana nacho
Tujikumbushe. Walivyokutana na hawa Vitayose ilikuwaje?Kuna vyura wanalia kwa kukoroma.🤔
Nimeshavuta majani ya mpapai.Nikumbushe.Tujikumbushe. Walivyokutana na hawa Vitayose ilikuwaje?
Mpira uliguswa na beki ule ndio ukampoteza kama unazungumzia goli la nneHuyu kipa script kaitendea haki ila mpira unampitia hapo hapo na anautazama tu halafu sio shuti kali bila hata aibu
Doooh.. kuna watu washakuwa homeless kisa huu ushauri wako... lahaulaaahFt: Tabora win/draw
Stake: nyumba ya urithi iliyopo Kitumbinkunya Kilwa.
Walikuwa wanaogopa machezaji ya AFCON.Yani kipa wa kitayose hana mabeki..anawapanga lakini wapiiiii
Vip umemaliza kulia?? Pole sanaUkiangalia huu Moira unavyochezwa unaweza ukalia,yani pesa imeharibu sana mpira wetu,tabora mmepewa sh ngap?
Washabiki wa Yanga ni viumbe wa tofauti nimejifunza hii kitu.Niwakumbushe tu TABORA huwa wanafika golini ile sio mashujaa kwahiyo wanasimba mkae kwa kutulia kwa mtakachokutana nacho
Gari limeshawaka hiloKulingana na namna simba wamecheza mechi mbili hz za ligi vipi mnaona kama wamejipata au bado tuwape muda
mmekuja?Hakuna ufundi pale uki consider distance uliopitia mpira na alipokuwepo kipa na kiasi cha shuti. Lingekuwa ni shuti kali angalau ila shuti la kawaida halafu limepita pale pale alipokuwepo kipa. Pata muda uangalie vizuri kabisa namna kipa alivyoongopa pale.