Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kauzwa.Kauzwa au kaachia? Mpira unapita mbele yake na anautazama wakati uwezo wa kunyosha mkono au mguu upo au ili ku clear.
Wenzio wameenda kufagia ofisi jangwani we unakazs fuvu hapa 😂😂Simba B ( Rage ) Vs Simba A ( Mo)
Baba na mwana kazi kweli kweli
Nimbembeleze nibebe Yesu nibebePoint 3
Ashukuriwe Rage kwa kazi nzuri aliyo fanyaWenzio wameenda kufagia ofisi jangwani we unakazs fuvu hapa 😂😂
Rage ni nani sasa pale Tabora United!?Simba B ( Rage ) Vs Simba A ( Mo)
Baba na mwana kazi kweli kweli
Kama inaumiza subiri marudio utazame huenda matokeo yakabadilika. TBC wanaweza rusha marudio. Usisahau kubeti.Nimbembeleze nibebe Yesu nibebe
....Hahahaa! Lol.
Mtani subiri maumivu tu hapo sababu hizo timu hata hazielewekagi.
Ndio lengo la script ya leo, ukiangalia goli la Freddy utaona kwamba kipa alikuwa anauwezo wa kuucheza mpira kwa miguu ila kaacha. Ni maelekezo toka juu.Sajili zote zimefunga
Msambaza bahashaRage ni nani sasa pale Tabora United!?
Wenzio wamebakwa huko. Vipi na wewe una hamu?Nimbembeleze nibebe Yesu nibebe
Rage anafanya kazi nzuri tumpongeze wana lunyasiKama inaumiza subiri marudio utazame huenda matokeo yakabadilika. TBC wanaweza rusha marudio. Usisahau kubeti.
Ndiyo ulivyosimuliwa hapa kijiweniHuyu Babacar sarr ni tapeli hapa mbuzi kauzwa Kwenye gunia
Ule mpira umepigwa kiufundi na kwa mahesabu makaliNdio lengo la script ya leo, ukiangalia goli la Freddy utaona kwamba kipa alikuwa anauwezo wa kuucheza mpira kwa miguu ila kaacha. Ni maelekezo toka juu.