Mto Songwe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2023
- 6,683
- 14,060
Ndio michezo yako hiyo unapenda ?Wenzio wamebakwa huko. Vipi na wewe una hamu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio michezo yako hiyo unapenda ?Wenzio wamebakwa huko. Vipi na wewe una hamu?
Nenda kafyeke majani pale jangwani uchafu ni mwingi sana hadi nyuma mwiko 😂😂Ashukuriwe Rage kwa kazi nzuri aliyo fanya
Marudio watashinda, kuwa na subira.Rage anafanya kazi nzuri tumpongeze wana lunyasi
Nipo hapa bunju napunga upepoNenda kafyeke majani pale jangwani uchafu ni mwingi sana hadi nyuma mwiko 😂😂
KAbisaaaHuo ni mkwara mbuzi
Pale kwa waoka mikate nani mna lunyasi aandae script?Marudio watashinda, kuwa na subira.
Saa 4 mechi marudio Azam, nenda kadake wewe basiNdio lengo la script ya leo, ukiangalia goli la Freddy utaona kwamba kipa alikuwa anauwezo wa kuucheza mpira kwa miguu ila kaacha. Ni maelekezo toka juu.
Nenda kale mihogo ya wana nchiiiiiKwa Jobe hapa tumepigwa hamna mchezaji hapa ni kuruka ruka tu na kubahatisha
Bado hamjasemaHuyu kipa script kaitendea haki ila mpira unampitia hapo hapo na anautazama tu halafu sio shuti kali bila hata aibu
Kafungwa Tabora united, mlalamikaji ni Uto wahed 😁 😁 😁kipa alikuwa anauwezo wa kuucheza mpira kwa miguu ila kaacha. Ni maelekezo toka juu.
Hakuna ufundi pale uki consider distance uliopitia mpira na alipokuwepo kipa na kiasi cha shuti. Lingekuwa ni shuti kali angalau ila shuti la kawaida halafu limepita pale pale alipokuwepo kipa. Pata muda uangalie vizuri kabisa namna kipa alivyoongopa pale.Ule mpira umepigwa kiufundi na kwa mahesabu makali
Joseph na crew yake ile hawaiwezi
Niliwaambia wakashupaza shingoLeo nyani wa pori la utopolo watakuwa na huzuni kubwa sana
Kadake basi tuone kama utawezaHakuna ufundi pale uki consider distance uliopitia mpira na alipokuwepo kipa na kiasi cha shuti. Lingekuwa ni shuti kali angalau ila shuti la kawaida halafu limepita pale pale alipokuwepo kipa. Pata muda uangalie vizuri kabisa namna kipa alivyoongopa pale.