FT: Tabora United 0-4 Simba SC | NBC Premier League | A.H.Mwinyi Stadium | 06.02.2024

FT: Tabora United 0-4 Simba SC | NBC Premier League | A.H.Mwinyi Stadium | 06.02.2024

Safi, Ball linatembea
 
Match Day.

Leo Simba anatupa karata yake kwenye mchezo wa 12 wakiwa na Points 26. Nafasi ya 3. Anayeongoza Ligi ana points 34.
Mpaka sasa Simba amepoteza Mchezo 1 Draw 2 na Ameshinda 8.

Wapinzani Wao Tabora wako nafasi ya 12 kwenye msimamo wakiwa na points 15.

Mchezo utafanyika Saa 10jioni.
Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi, Tabora.

Tukutane hapa kwa updates...
Uran!!

KIKOSI CHA TABORA UNITED KINACHOANZA.

KIKOSI CHA SIMBA KINACHOANZA
All the Best Mnyama.
#nguvumoja#...

=====

Mchezo umeanza
5' Kasi ya mchezo bado sio kubwa
9' Mchezo unachezwa katikati kwa muda mwingi
Simba 2- 1 Tabora
 
Huu uwanja Tabora wameupendea nini mbona hata wao wenyewe unawashinda
 
Hili ni shamba pitch haiwezi ikawa hivi
 
Nipo nasubirja updates sipo live kideoni
 
Ukiangalia huu Moira unavyochezwa unaweza ukalia,yani pesa imeharibu sana mpira wetu,tabora mmepewa sh ngap?
 
Back
Top Bottom