Cetshwayo Kampande
JF-Expert Member
- Nov 28, 2018
- 1,295
- 2,973
Madaku gao taifa starGe haga mauza uza ulola bwina hinu, koto kulengesa mihu hago, nigana he kukulepulila Pa baadayi, ulola wa mwene.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Labda tuchambue chuya sioni chochote kama mzee tupatupa tu akisubiri pombeVijana Leo wanajituma kweli kweli au ndio Yale ya wahenga : mbio za sakafuni huishia mlangoni
Tungeanza hivi mwanzoni hat ungekuwa tunaburuza mkia kweli naenjoy : communication, ball control, pass accuracy, counter attack na speed
Kila la kheri Taifa Stars,
Karibuni Wana jamvi tuchambue
Andika livesport TVView attachment 2882000
Iko wapi hapo
KabisaTulizingua wenyewe game na zambia daaah....
Huku niliko ni huzuni. Umeme unaweza usiwepo kwa siku mbili kwenye wilaya tatu za mkoa mmoja na hakuna tamko la serikaliMimi hata sielewi, hivi rais haoni huu upuuzi wa TANESCO?
Naunga mkonoSamatta ni mzigo mzito, anapoozesha mashambulizi, aingie kibu angalau tulazimishe kuingia kwenye box.
Mashuti kwenye Goli la Congo hawapigi Ila Congo wakifika kwenye Goli la Stars wanapiga Mashuti ya kusaka Goli kwa hio kinachokosekana ni hicho TU wakifika wanalenga Goli wakandamize Mashuti wanawafunga mboniTutawafunga. Hawa naona tunawamudu. Hawana ushirikiano.
Tukirudi na jihadi tu wanakaa.
Nikipata hela nahama nchiWanazingua sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mfyuuuh ndo umewaza hicho tyuuh.Oh, basi jilegeze
Nikubebe mgongoni (iyelewi)
Kitandani nikoleze
Kwa miuno ya kingoni (iyelewi)
Kisha nibembeleze
Nirudishe utotoni (iyelewi) [emoji23][emoji16][emoji16]
Congo msiniangushe
Samata leo yupo vizuri mbel hakuna watuSamatta ni mzigo mzito, anapoozesha mashambulizi, aingie kibu angalau tulazimishe kuingia kwenye box.
Nenda mpaka kigoma, kutoka pale kufika burundi hata baiskeli inatoshaNikipata hela nahama nchi
Andika livesport TV
Punguzeni chuki za kijinga mboni amecheza fresh TUSamatta ni mzigo mzito, anapoozesha mashambulizi, aingie kibu angalau tulazimishe kuingia kwenye box.
Nakusalimia Mkongo😅[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mfyuuuh ndo umewaza hicho tyuuh.
Na tunapenda kutiana hatari, bora tukose kula ila sio kuzagamuana.
Kabisatena goli moja tu
Samatta sijui aliwafanyia nini nyie watu daaahSamatta ni mzigo mzito, anapoozesha mashambulizi, aingie kibu angalau tulazimishe kuingia kwenye box.