FT: Tanzania 0 - 0 DR congo | AFCON 2024 | Amadou Gon Coulibaly | 24 .01 .2024

FT: Tanzania 0 - 0 DR congo | AFCON 2024 | Amadou Gon Coulibaly | 24 .01 .2024

Vijana Leo wanajituma kweli kweli au ndio Yale ya wahenga : mbio za sakafuni huishia mlangoni
Tungeanza hivi mwanzoni hat ungekuwa tunaburuza mkia kweli naenjoy : communication, ball control, pass accuracy, counter attack na speed

Kila la kheri Taifa Stars,
Karibuni Wana jamvi tuchambue
Labda tuchambue chuya sioni chochote kama mzee tupatupa tu akisubiri pombe
 
Hii mechi tutapigwa wazee wa kwa babu tumeiona hio tayari kama una presha lala mapema
 
Tutawafunga. Hawa naona tunawamudu. Hawana ushirikiano.
Tukirudi na jihadi tu wanakaa.
Mashuti kwenye Goli la Congo hawapigi Ila Congo wakifika kwenye Goli la Stars wanapiga Mashuti ya kusaka Goli kwa hio kinachokosekana ni hicho TU wakifika wanalenga Goli wakandamize Mashuti wanawafunga mboni
 
Oh, basi jilegeze
Nikubebe mgongoni (iyelewi)
Kitandani nikoleze
Kwa miuno ya kingoni (iyelewi)
Kisha nibembeleze
Nirudishe utotoni (iyelewi) [emoji23][emoji16][emoji16]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mfyuuuh ndo umewaza hicho tyuuh.
Na tunapenda kutiana hatari, bora tukose kula ila sio kuzagamuana.
 
Andika livesport TV
Screenshot_20240124-235439_Google Play Store.jpg
 
Back
Top Bottom