cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Mbona uvaliga matusi ve vachezaji vene? Vakosi kyani? Si vikina bwina lelu mjova mwavene, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Madaku gao taifa star
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona uvaliga matusi ve vachezaji vene? Vakosi kyani? Si vikina bwina lelu mjova mwavene, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Madaku gao taifa star
Kweli. Ujasiri wa kupiga hakuna kabisa.Mashuti kwenye Goli la Congo hawapigi Ila Congo wakifika kwenye Goli la Stars wanapiga Mashuti ya kusaka Goli kwa hio kinachokosekana ni hicho TU wakifika wanalenga Goli wakandamize Mashuti wanawafunga mboni
Ni sawa pia, hakuna cha uzalendo nchi hii viongozi wa kiserikali wanakwiba asubuhi mchana na jioni, wao wakavunjike miguu eti wanapambania taifa, mzigo uwekwe mezani tutie miguu sehemu ya kuweka chuma.Kwasababu raisi ameweka kitu mezani
Samata anapambana leoPunguzeni chuki za kijinga mboni amecheza fresh TU
Ongezea kuvuka kwenda upande ule wala hakuna process nyingiNenda mpaka kigoma, kutoka pale kufika burundi hata baiskeli inatosha
Ni kweliKibu anahitajika game ipo upande wetu hii
Na ndio maana wakimbizi wamejaa, si ajabu wapo pia huko Tanesco wamejazanaOngezea kuvuka kwenda upande ule wala hakuna process nyingi
Nipoo hapaa, muda badooNakusalimia Mkongo[emoji28]
Pale mbele hakuna mtu wa kukandamiza mashuti yasiyoenda nje na yanayolenga Goli Samatta mashuti anapiga nje halengi Goli, yakipigwa mashuti hata matatu moja lazima liwe Goli kavu au penatiKibu anahitajika game ipo upande wetu hii
Anajivuta sana kurudi kuongeza ulinziKibu na msuva wakiwa pembeni samata akae kati mnonga mzito atoke
Wamejazana mpaka Njombe wapo kibaoNa ndio maana wakimbizi wamejaa, si ajabu wapo pia huko Tanesco wamejazana
Tunahitaji vyote kulinda na kushambulia ndio maana kibu anahitajika sababu anapanda na kushuka kuzuiaAnajivuta sana kurudi kuongeza ulinzi
Kwa hiyo tukubali mechi tulizopoteza huwenda ilisababishwa na kukosekana kwa ahadi ya kitita kama hamasa?Ni sawa pia, hakuna cha uzalendo nchi hii viongozi wa kiserikali wanakwiba asubuhi mchana na jioni, wao wakavunjike miguu eti wanapambania taifa, mzigo uwekwe mezani tutie miguu sehemu ya kuweka chuma.
TANESCO WOTE NI WAKIMBIZI KUANZIA VIONGOZI MPAKA VIPANGA WA KUUNGA UMEME WOTE NI WAKIMBIZINa ndio maana wakimbizi wamejaa, si ajabu wapo pia huko Tanesco wamejazana
Tulizingua wenyewe game na zambia daaah....