Gentlemen_
JF-Expert Member
- Nov 24, 2019
- 4,431
- 13,876
CCM utawaweza ndugu yangu?Hivi hawa wanaobeba mabango ya mama uwanjani wana lipwa.?
Na wew kama shoga tuliaHizo si zilikuwa za sifa ya Samia?
Nchi hii ujinga umetamalaki
UVCCMHivi hawa wanaobeba mabango ya mama uwanjani wana lipwa.?
Oooohh π€π€π€Wanapoteza muda wachezaji wa Simba walishakata ticket za kuondoa asubuhi.
Hapa mechi inachezwa kesho au inasimamishwa
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Je ukirudi huw unarudije?Hivi nani kawaambia umeme ukikatika lazima mtu awe ameukata??
Ushoga upingwe popote haijalishi niwap tetea marinda bintHizo Million 500 si mngerekebisha Taa uwanjani.Hii nchi ni majanga, aibuuu. Mmekalia kupinga ushoga tuuu,vitu vya msingi mmesahau.
Watanzania wanasomea ujingaHivi nani kawaambia umeme ukikatika lazima mtu awe ameukata??
Hivi nani kawaambia umeme ukikatika lazima mtu awe ameukata??
Hebu waulize Tanesco wakupe elimu kidogo..Je ukirudi huw unarudije?