Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Samata anataka kutuonesha kitu ambacho hana, wanamng'ang'ania kwa sababu ya status yake. Kuna mechi Cr7 na ukubwa wake alianzia benchi portugal. TujifunzeMpira TZ bado sana ubunifu ni zero tunamng'ang'ania Samata ambae amekwisha hana cha ziada hapo tulipofika ndio mwisho wetu timu inacheza utafikiri wagonjwa wa ukimwi